Haya magroup ya shule mmlishamaliza shule miaka yapata 12. mnachangishana Hivi mimi ndiye nawaza negative?

Left group kabla michango haijaanza. Just left.
 
Halafu wabongo wengi wana herd mentality ukichanganya na kuwa inconsiderate, watakushangaa tu wewe vipi? Sasa kwa nini hutaki kuonekana jina, kwani unaiba hapa?

Wengi wao usipo fit kwenye mifumo yao na thinking zao wanakuona ni tatizo, ni mtata, hawana hata consideration kwamba huyu ana concerns ambazo hatuzielewi, labda jambo tunaloliona dogo yeye linaweza kuwa kubwa kwake.

Yani unaweza kuwa vegetarian ukalazimishwa kula nyama tu, ukaambiwa "wee viiipi, huli nyama?"
 
🤣.

I’m not sure if I’m weird, selfish, different, or a little bit of everything, ila mimi sipo kwenye group hata moja!
And that's how it should be.

Whoever is supposed to be in touch with you, will always have a way to reach you without the groups.

Magroup ni mwanzo wa majungu na kuchunguzana tu.

Chochote kinachotolewa kwa jina la msaada pakiwa na matangazo basi dhana yote ya msaada hupotea. Desturi ya msaada ni ibaki baina yako na anaesaidiwa.

Kupitia kuweka mambo halaiki, kunapelekea hata walio na dhamira ya kuchangia kusita ama kutochangia kwa hofu ya kuonekana duni ikitokea wengine wakatoa zaidi.
Baada ya yote binadamu tumeumbwa na unafiki wa kulinganisha kwa kuangalia nani katoa zaidi na wa zaidi kuonekana bora.

Ikiwa mtu anapaswa kuchangiwa harusi/shughuli/msiba wake nina amini naweza mfikia muhusika directly na anonymously. Hapo mchango wangu utakuwa na impact zaidi kuliko matangazo ya ma group.
 
Best option kwa sasa ni M-koba. Mnatupiamo humo kila MTU anaona, mnatengeza katiba ya kipi kinakuwa covered na Kipi kinapotezewa. Thenlikitokea Jambo pesa itatolewa kila.mtu anaona, so inaepusha kuweka mikeka kila Jambo likitokea. Noma Zipo sema wengi hakuna trust nazo kutokana na milolongo Yao hasa pale Jambo linapotokea.
 
Inategemea na mahusiano yenu mlipokuwa shule. Wengine tunazaidi ya 20M kwa ajili ya lolote litakalompata yeyote na familia yake.
Mimi changamoto ya haya makundi ni kwa nini hakuna makundi kwa ajili ya maendeleo? Yani yote ni kwa ajili ya kujihami wakati wa kufa au kufiwa tu.
 
Tena wengine huandaa na vikao kabisa eti mkeo anakuaga kwenda kwenye kikao cha classmates ambapo wengi wao huishia kuliwa tu huko na vijamaa vyao walivyosoma navyo
 
Ikiwa upo well financial stable
Usiogope kutoa doesn't matter ni Fraud au real.

In this life people is an everything.
Tupo hapa na tutakuwa pale yote hii ni kwa ajili ya nguvu ya watu.
 
Ikiwa upo well financial stable
Usiogope kutoa doesn't matter ni Fraud au real.
Tell me you a whatsapp school group admin without telling me you are a whatsapp school group admin🤣🤣
 
Tena wengine huandaa na vikao kabisa eti mkeo anakuaga kwenda kwenye kikao cha classmates ambapo wengi wao huishia kuliwa tu huko na vijamaa vyao walivyosoma navyo
Mkuu,

Sasa hapo huoni kwamba mtihani unao kwa mke wako, si kwa hivyo vijamaa?

Maana hata ukipiga stop kwa hivyo vijamaa, bado unaweza kupigiwa kwenye vikao vya kanisani/ msikitini, vya ususi, vya kwenda kilioni, vya safari za kazi, kwenye safari za hospitali, , za kuchukua watoto shule, za birthday za watoto, za kutembelea rafiki...

Yani ikiwa anaweza kukufanyia uhuni huko, anaweza kukufanyia uhuninsehemu nyingi sana.

Huoni kwamba hapo unatakiwa ku deal na mkeo tu, si kuziba sehemu atakazoenda ambazo huwezi kuzimaliza?
 
Mtaani kwangu kuna utaratibu kila nyumba sh 1000 anspotutoka kwana mtaa awe mtoto nk.

Book sio ishu sana. Ila wanaume wanakitabu tsh 20000 sasa hapa naona kuna upigaji.

Mtaa una nyumba 1000 kila kichwa sh 20000 huu sio mradi kweli? Sh 20.000.000/= tu assume wametoa wanaume 500 bado 10M ni pesa nyingi sana

Bora hata ingekuwa kila mwanaume sh 500 kwa wanaume 100 ni 50.000/=
 
Mambo ya Life Insurance ndiyo tushaona uchuro au watu wa Insurance wanakosea sehemu? Nasikia kuna mpaka group life insurance siku hizi.
 
Mawazo ya kimaskini... Mostly, mtu mwenye unafuu wa kipato huwa hawezi lalama akifanya CHARITY ACTIVITIES..
 
Hayo magroup ya Whatsapp ni majungu, umbeya, kufanya familia kugombana, wanaume kutaka tongoza wake za watu, mradi, watu kutokuwa na shughuli za kufanya, ujinga ujinga....
Sitojiunga wala kufikiria...
 
Nina group tulimaliza shule late 90s aisee liko Active Hadi unaogopa yaani...tuko 105......tunatoaga 10 tu Kila Mtu likitokea jambo yaani mkeka ukiwekwa aibu unasikia wewe usiyetoa
 
Wengine wapigaji, wengine sio wapigaji

ila kuchangisha rambirambi kwa kifo fake aisee hiyo laana itakayokupata, GOD knows
 
Dah nawaza mimi nianzishe grupu na niliosoma nao ila nikikumbuka baadhi ni mateja , wengine ni watu madawa naishia kuwa mdogo , oya kaka mkubwa Nelson kagame
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…