Haya maharage ni ya matajiri?

Haya maharage ni ya matajiri?

Dagaa ni chakula cha kimasikini japo zinahitaji pesa kununua.
Mkuu, dagaa zikaushwe mix nyanya chungu, bamia kidogo, upate na mboga za majani, pilipili na glass ya maziwa mtindi ni chakula cha kitajiri kabisa. Kaugali kawe kadogo.
 
Mkuu, dagaa zikaushwe mix nyanya chungu, bamia kidogo, upate na mboga za majani, pilipili na glass ya maziwa mtindi ni chakula cha kitajiri kabisa. Kaugali kawe kadogo.
Wataalam wanasema huo mchanganyiko ulioutaja hapo haviendani.

Ila hata mimi sijawahi kuwaunga mkono maana hakuna madhara yeyote nliyowahi kupata nikila huo mchanganyiko

Ova
 
Wataalam wanasema huo mchanganyiko ulioutaja hapo haviendani.

Ila hata mimi sijawahi kuwaunga mkono maana hakuna madhara yeyote nliyowahi kupata nikila huo mchanganyiko

Ova
Wataalam gani mkuu, mbona sijawahi wasikia?
 
Back
Top Bottom