Snapdragon 8
JF-Expert Member
- Jan 16, 2023
- 1,046
- 3,781
yani umekomaa kuandika uzi hapa kujua aina ya maisha ya rafiki yako!!? Kama hutaki alale getoni kwako si umwambie tuZinakufaa na wanao,hongera sana .Soma kilichoandikwa ndo ujibu hizo ofisi zitakushinda kwa kukurupuka
Sema usikike!Atakuwa ni au basi
Ndugu wako mbali na hapa ni Dodoma kwao ni Kondoa .Kwani hana ndugu zake wa kumshauri?
Kaa nae mbali huyo mwisho wa siku wote mtakuwa mnaonekana mazuzu mbele ya wanaojielewa.Ndugu wako mbali na hapa ni Dodoma kwao ni Kondoa .
oyani umekomaa kuandika uzi hapa kujua aina ya maisha ya rafiki yako!!? Kama hutaki alale getoni kwako si umwambie tu
Kaa nae mbali huyo mwisho wa siku wote mtakuwa mnaonekana mazuzu mbele ya wanaojielewa.umenena vyema kabisa.
Kwaiyo wewe umeshindwa kumwambia kama unakereka kwa vitendo!!?Sio lengo la Uzi hii!wapo wengi wa aina hii kama wewe ni mmoja wapo acha na ikuguse inakera
o
Sawa mkuu vioo vitafungwa,ila ana mbinu balaa!Usiombe mkafahamiana Nae!Nyie ndo mnaomlea mpaka anaishi hivyo kama anapata hela we mfungie vioo tu akikosa sehemu ya kulala atanunua vitu vyake....
Mwisho pesa ya mtu haipangiwi matumizi
Mkuu ishu ni simple tu siku akija mwambie shemeji yako anakuja akikaza na wewe unakazaSawa mkuu vioo vitafungwa,ila ana mbinu balaa!Usiombe mkafahamiana Nae!
Yote nimefanya hapa jf tunapeana somo kama na wewe uko hivyo acha,acha,acha,INAKERA!!!!!Kwaiyo wewe umeshindwa kumwambia kama unakereka kwa vitendo!!?
Sawa mkuuMkuu ishu ni simple tu siku akija mwambie shemeji yako anakuja akikaza na wewe unakaza
Mimi nipo kwangu mkuu sijajenga ila naishi mwenyewe toka 22yrsYote nimefanya hapa jf tunapeana somo kama na wewe uko hivyo acha,acha,acha,INAKERA!!!!!
Yeye popote kambi mkuu Isanga Family,maneno mengi!!Hasa Simba na Yanga zikikutana yeye ndie Kamisaa kwenye Tv!Analala kwako aisee vijana kazi ipo....
Uko vizuri kila la kheri dogo!Mimi nipo kwangu mkuu sijajenga ila naishi mwenyewe toka 22yrs
Sio taarifa ni habari ya kusikitisha katoka maisha.Asante kwa taarifa