Haya maisha ya namba gani?!

Haya maisha ya namba gani?!

Sio lengo la Uzi hii!wapo wengi wa aina hii kama wewe ni mmoja wapo acha na ikuguse inakera
yani umekomaa kuandika uzi hapa kujua aina ya maisha ya rafiki yako!!? Kama hutaki alale getoni kwako si umwambie tu
o
 
Nyie ndo mnaomlea mpaka anaishi hivyo kama anapata hela we mfungie vioo tu akikosa sehemu ya kulala atanunua vitu vyake....
Mwisho pesa ya mtu haipangiwi matumizi
 
Nyie ndo mnaomlea mpaka anaishi hivyo kama anapata hela we mfungie vioo tu akikosa sehemu ya kulala atanunua vitu vyake....
Mwisho pesa ya mtu haipangiwi matumizi
Sawa mkuu vioo vitafungwa,ila ana mbinu balaa!Usiombe mkafahamiana Nae!
 
Back
Top Bottom