Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
- Thread starter
-
- #41
Usimpe Ndoto za mchana mkuu,haipo hiyo katoka History kwa kuishi hivi halafu utoboe!Haipo Hakika.Muache aishi maisha aliyojichagulia kwa sasa,
Huyo atakuja kukupita kimaisha mpaka utakuja kushangaa.
Sawa!Ni sahihi kuishi hivyo!?Na huyo jamaa ndio wewe
Sahihi, ndio maana unaishi hivyoSawa!Ni sahihi kuishi hivyo!?
Jiheshimu dogo wewe komaa na maisha yako muache mchizi aishi life like kama umeshindwa kumkazia TULIAUko vizuri kila la kheri dogo!
Utakuja kuikumbuka comment yangu,Usimpe Ndoto za mchana mkuu,haipo hiyo katoka History kwa kuishi hivi halafu utoboe!Haipo Hakika.
Akibadilika inawezekana kwa mwendo huo Never anda Ever Mkuu,hakuna Cha kukumbuka comment zako hata chembe!Utakuja kuikumbuka comment yangu,
Time will tell.
Ndio nilicho maanisha toka mwanzo hicho,kua atakuja kubadilika na kukuzidi.Akibadilika inawezekana kwa mwendo huo Never anda Ever Mkuu,hakuna Cha kukumbuka comment zako hata chembe!
!Ndio nilicho maanisha toka mwanzo hicho,kua atakuja kubadilika na kukuzidi.