Pettymagambo
JF-Expert Member
- Aug 21, 2017
- 1,490
- 8,227
Kiukweli hawa watu wanatimu bwana, niseme wazi game ya mzunguko wa pili ya watani, sisi SIMBA yaani dakika 90 tutaziona kama mwaka, yaani hazitimii.
Pamoja na kuchukizwa na matokeo ya leo, ila nasema timu pekee inayoweza kuwapa tabu hawa Yanga labda Mamelod pekee, na Al Ahly asipochunga game ya mwisho anaweza akalowa palepale Cairo.
Hongera Yanga.
Hongera injinia Hersi.
Hongera mashabiki wa Yanga, japo roho inaniuma kuona sisi SIMBA tunaendelea kuokoteza mizigo ya wachezi tangu kusepa kwa Hanspope, sioni kiongozi kwetu mwenye nia ya kuipeleka timu kwenye kilele cha furaha kama ilivyo kwa injinia Hersi!
Hawa watu wakiamua wanaweza kutupiga hata 7-0 nipo hapa njooni mnitukane washabiki hobhelahobhela.
Pamoja na kuchukizwa na matokeo ya leo, ila nasema timu pekee inayoweza kuwapa tabu hawa Yanga labda Mamelod pekee, na Al Ahly asipochunga game ya mwisho anaweza akalowa palepale Cairo.
Hongera Yanga.
Hongera injinia Hersi.
Hongera mashabiki wa Yanga, japo roho inaniuma kuona sisi SIMBA tunaendelea kuokoteza mizigo ya wachezi tangu kusepa kwa Hanspope, sioni kiongozi kwetu mwenye nia ya kuipeleka timu kwenye kilele cha furaha kama ilivyo kwa injinia Hersi!
Hawa watu wakiamua wanaweza kutupiga hata 7-0 nipo hapa njooni mnitukane washabiki hobhelahobhela.