kiungo pundamilia
Member
- Apr 27, 2023
- 49
- 130
haya majedwali machache sana tuongezee ili tuelezee vizuri jinsi tunavyokufa kiume...Baada ya kuona Hawa ndugu zetu Wana hangaika sana kutuonesha rekodi za makombe kupitia majedwari, nimeonelea niwaandalie majedwari yaliyo wazi Ili watujazie taarifa zao za kihistoria na mafanikio yao yasiyo na shaka kuanzia kubeba kombe la afrika enzi za mkoloni hadi sasaView attachment 2608905View attachment 2608907View attachment 2608908
haya majedwali machache sana tuongezee ili tuelezee vizuri jinsi tunavyokufa kiume...
Kombe la robo fainali.Baada ya kuona Hawa ndugu zetu Wana hangaika sana kutuonesha rekodi za makombe kupitia majedwari, nimeonelea niwaandalie majedwari yaliyo wazi Ili watujazie taarifa zao za kihistoria na mafanikio yao yasiyo na shaka kuanzia kubeba kombe la afrika enzi za mkoloni hadi sasaView attachment 2608905View attachment 2608907View attachment 2608908
AahhaaaaBaada ya kuona Hawa ndugu zetu Wana hangaika sana kutuonesha rekodi za makombe kupitia majedwari, nimeonelea niwaandalie majedwari yaliyo wazi Ili watujazie taarifa zao za kihistoria na mafanikio yao yasiyo na shaka kuanzia kubeba kombe la afrika enzi za mkoloni hadi sasaView attachment 2608905View attachment 2608907View attachment 2608908
Kweli we ni pundaBaada ya kuona Hawa ndugu zetu Wana hangaika sana kutuonesha rekodi za makombe kupitia majedwari, nimeonelea niwaandalie majedwari yaliyo wazi Ili watujazie taarifa zao za kihistoria na mafanikio yao yasiyo na shaka kuanzia kubeba kombe la afrika enzi za mkoloni hadi sasaView attachment 2608905View attachment 2608907View attachment 2608908
Muda si mrefu watakuja kuyajaza haya majedwali yote, kwa zile takwimu zao za miaka ya 1970's. Subiri uone.Baada ya kuona Hawa ndugu zetu Wana hangaika sana kutuonesha rekodi za makombe kupitia majedwari, nimeonelea niwaandalie majedwari yaliyo wazi Ili watujazie taarifa zao za kihistoria na mafanikio yao yasiyo na shaka kuanzia kubeba kombe la afrika enzi za mkoloni hadi sasaView attachment 2608905View attachment 2608907View attachment 2608908
Majina yote mabaya ni yenuMwaka huu mtatuita majina yote walahi
mbona haichekeshi !?Nimecheka sana😂😂Hadi rekodi za mwaka 1936 zitawekwa watakwambia walishinda kombe la malkia wa Uingereza waliifunga Manchester United fainali pale Rhodesia(Zimbabwe)
Utajua mwenyew na stress zako!mbona haichekeshi !?
Nionyeshe uto mwenye akili/maarifa.Baada ya kuona Hawa ndugu zetu Wana hangaika sana kutuonesha rekodi za makombe kupitia majedwari, nimeonelea niwaandalie majedwari yaliyo wazi Ili watujazie taarifa zao za kihistoria na mafanikio yao yasiyo na shaka kuanzia kubeba kombe la afrika enzi za mkoloni hadi sasaView attachment 2608905View attachment 2608907View attachment 2608908