Hivi kuna watu wanaitwa Mwaka Mbaya na Sura Mbaya?
Halafu, hivi hayo majina kama Tabu, Mawazo, na mengineyo ya hivyo mara nyingi huwa ni ya Waislam eeh, au nimekosea?
Kama ni hivyo huwa najiuliza kwa nini....
Hivi kuna watu wanaitwa Mwaka Mbaya na Sura Mbaya?
Halafu, hivi hayo majina kama Tabu, Mawazo, na mengineyo ya hivyo mara nyingi huwa ni ya Waislam eeh, au nimekosea?
Kama ni hivyo huwa najiuliza kwa nini....
Wewe unataka kuanzisha ligi ya malumbano hapa Jukwaani.
Fikirini, Havinitishi, Havijawa, Chausiku, Zinduna...
Ongezea Masumbuko, Tatizo, na Maimuna (ingawa hili sijui hata kwa nini lina negative connotation).
Kwa nini unasema hivyo?
sikitu, liziki, mwanjaa, mwaka, chausiku, mwanvua, yako mengi tuu.
Ndg wana MM kwa uzoefu nilioupata baada ya kuishi hapa
duniani miongo kadhaa nimegundua kuwa watu wenye majina kama Shida, Tabu, mawazo, siamini, Mwaka mbaya, Sura mbaya, Sikitu, Tatizo na mengine yanayofanana maisha yao huwasumbua sana hivyo
"TUACHE KUWAPA WATOTO MAJINA HAYA" unaweza kutaja na mengine
Ndg wana MM kwa uzoefu nilioupata baada ya kuishi hapa
duniani miongo kadhaa nimegundua kuwa watu wenye majina kama Shida, Tabu, mawazo, siamini, Mwaka mbaya, Sura mbaya, Sikitu, Tatizo na mengine yanayofanana maisha yao huwasumbua sana hivyo
"TUACHE KUWAPA WATOTO MAJINA HAYA" unaweza kutaja na mengine