Haya majina tusiwape newborn (watoto)

Haya majina tusiwape newborn (watoto)

Kweli nimeamini, King'asti una mzizi. Mie nshajiandaa na mask usoni kwa ajili yako.
Ila nitafutie dikshenare

King'asti of course you know I have a soft spot for you.

Something on that no nonsense devil may care epic badass wavelength resonates well.

I like that. People need to be themselves and stop worrying about society, and let others be themselves.

I feel that I don't need to be concerned about that with you.

Look, now you make badass Kiranga look like he is writing a love letter, Clyde looking for his Bonnie.

If only I wa marriage material...

We're gonna be friends.
 
Last edited by a moderator:
kuna wanaoitwa Masumbuko,taabu na mengine ya aina hiyo dunia shida pia huwa shida kweli
 
Mainuma hata kuna majini yanaitwa hilo jina
Kulikuwa na tangazo RTD zamani la kozi ya kingereza. Sasa kuna katibu muhtasi alikuwa akipigiwa simu kwa lugha ya kingereza kila kitu anajibu "mimi Maimuna"......nasema mimi Maimunaaaa". Lilikuwa linachekesha sana. Kuanzia hapo jina la Maimuna likahusishwa na ukilaza. Ni kama Kihiyo na kufoji vyeti.
 
Hivi kuna watu wanaitwa Mwaka Mbaya na Sura Mbaya?

Halafu, hivi hayo majina kama Tabu, Mawazo, na mengineyo ya hivyo mara nyingi huwa ni ya Waislam eeh, au nimekosea?

Kama ni hivyo huwa najiuliza kwa nini....
ninae rafiki yangu yupo turiani sasa ni diwani anaitwa mwakambaya....!
 
Kama ndiyo tamaduni zetu msilazimishe Nyangema aitwe 2Pac kama alivyosema Professor Jay wa mitulinga.

Wengine kwao majina ndiyo calendar, mtoto akizaliwa wakati wa njaa anaitwa Mwanjaa.

Sasa mnataka aitwe Grace halafu watu wapoteze timeline na washindwe kutamka jina?

"Ei Gilesiii, ewe Gileesiii".

Acheni hizo. Do you, and let others do them.

Tunajua nyie mmesoma na kupata habari za ustaarabu, si kila mtu kapata bahati hiyo.

Na mtu anaweza kuitwa Shida akaishia raha na aliyeitwa Raha akaishia shida.

Shakespeare alisema a rose by any other name will smell as sweet.

Tujikite kwenye utengeufu wa maadili, utubora na kazi.

Majina ni arbitrary labels, hata kama yana umuhimu mkubwa.
 
hahahaha, this must be your first love letter and my first blush:fencing:
now, lets not spoil the moment na Kongosho hatoelewa ingilishi yangu ya mwembeni praimare.

but i love watching viranga vyako, rest assured. coz i also am a kiranga kwa mbaaali.

one love buddy
King'asti of course you know I have a soft spot for you.

Something on that no nonsense devil may care epic badass wavelength resonates well.

I like that. People need to be themselves and stop worrying about society, and let others be themselves.

I feel that I don't need to be concerned about that with you.

Look, now you make badass Kiranga look like he is writing a love letter, Clyde looking for his Bonnie.

If only I wa marriage material...

We're gonna be friends.
 
Last edited by a moderator:
Na hawa jamii ya wachina kama majina yao tunayaleta kwa kiswahili ni hatari mfano - JEKI CHENI, JETI LII, LIU, B... YANGI, SHOKO SUGI na kuendelea
 
sikuzani,siwazuri,sijali,siwakumbuki,havijawa na kuna mtoto anaitwa jalala hapa jirani doh!
 
ninae rafiki yangu yupo turiani sasa ni diwani anaitwa mwakambaya....!

Good for him bruh!

Kuna wengine huko wana "ghetto names" kama Sha'Tanya, La'Quishria, Sha'Nay Nay, Sha'Quonda, Shakeesha, V'Lanta'la'mana'ma'nisha na mengine kama hayo.

What's in a name?
 
Good for him bruh!

Kuna wengine huko wana "ghetto names" kama Sha'Tanya, La'Quishria, Sha'Nay Nay, Sha'Quonda, Shakeesha, V'Lanta'la'mana'ma'nisha na mengine kama hayo.

What's in a name?

Hizi ni ghetto names za US, kuna jamaa mmoja alikuwa anamuita ghetto babeboo kwamba "come one in ghetto Laquisha I got my condom on bae!"
 
Uctake kudanganya watu,maana majina kama shida,tabu,masumbuko,misoji n.k yalitumika sana kipindi cha mababu zetu na wala hayakuleta dhahama yeyote.Sema tu kwa sasa umagharibi umetuathiri mno mpaka kwenye majina.Kama hiyo ndio kweli mbona kuna watu wanamajina mazuri tu ila hamna lolote,mfano mtu anaitwa wema haendani na jina lakd hata kidogo.Pia haya majina ya kizungu yana maana zake kama hizi zetu na mengine ni majina ya mimea na sehem za mimea tu.Unasemeje kwa hili.
 
Uctake kudanganya watu,maana majina kama shida,tabu,masumbuko,misoji n.k yalitumika sana kipindi cha mababu zetu na wala hayakuleta dhahama yeyote.Sema tu kwa sasa umagharibi umetuathiri mno mpaka kwenye majina.Kama hiyo ndio kweli mbona kuna watu wanamajina mazuri tu ila hamna lolote,mfano mtu anaitwa wema haendani na jina lakd hata kidogo.Pia haya majina ya kizungu yana maana zake kama hizi zetu na mengine ni majina ya mimea na sehem za mimea tu.Unasemeje kwa hili.
 
You got it! In the hood we don't say baby or babe. It's bae.

Mwaka huu mimi ndio nitakuwa mshindi wa Green card lottery, hivyo nitarudi US kuendelea na boksi. Utakuwa wapi unipe maujanja maana awali nlikuwa napretend kuwa African american mpaka deportation ikanifika, next time nataka niwe Shambuku straight from african village.

Whatsap now dude!?
 
Back
Top Bottom