Seneta Wa Mtwiz
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 3,635
- 4,160
Was'hkaji eeeeeeeh!
Juzi kanipigia simu brother mmoja wa wa kitaa cha #tegeta_tanki_bovu,
Ili nikampige twisheni ya kiswahili mdogo wake wa kike wa pale jangwani kwa kipindi cha likizo.
Sasa nimefika pale
Wakati tunakunywa chai
Brother akaanza kujikuta ananipa 'ubuyu' kama ifuatavyo,
"unajua nini ndugu wa mtwiz?
Kiukweli wakati mwingine vitu wanavyovipenda wanawake ni vya ajabu sana,
Yaani
Hawatabiriki kabisaaa!
unaweza shangaaa we' ni mwema,
Mkarimu,
Msafi,
una mwonekano mzuri,
Unavaa vizuri,
Una lugha nzuri na ya stara,
unaonesha kuguswa na masuala yake
na
kujisogeza karibu yake huku ukimshauri mambo mbalimbali endelevu
na ya ustawi wa uchumi na jamii yake,
Pia unaonesha utayari wa kusaidiana na'e katika hali na nyanja zote za maisha,
Ila
*tongozo* zako zinapigwa kibuti kila siku.
-------
Badala yake unakuja kubaini kuwa kahamishia attention yake yote kwa mwana flani mtaa wa 4,
Ambaye ni mlevi tu, anakunywa viroba kama maji,
Na anavuta sigara aina ya embassy balaa!
Kwenye mavazi sasa,
anavaa milegezo tako zote nje,
Na lugha yake hawezi kuongea maneno bila kutupia matusi,
Mwana sio mcheshi,
Ni mtu wa maudhi kichizi,
Na hana hata dalili ya kuonesha kumjali huyo binti hata kidogo,
Ila binti anatangaza anampenda kisa ana kisogo kirefu!
Sasa nd'o nini?!?!
Baadhi ya hawa ndugu zetu wa jinsia ingine yabidi tu tuwapeleke muhimbili,
Ili zifanyike jitihada za kuwapima akili!
************
Sasa hapohapo nd'o nikakumbuka stori ya brother mmoja
Ambaye ni jirani yetu hapa kitaa cha @kawe_ukwamani juzi tu alinisimulia
Jinsi alivyosumbuliwa na mkewe alipokuwa mjamzito.
Mke wa jamaa alipokuwa mjamzito alimsumbua sana, maana muda wote alikuwa anajisikia kunusa na kulamba kwapa la mumewe!
So, hata jamaa akiwa job anapigiwa simu apeleke kwapa haraka sana,
Ingawa ni kwa shingo upande inabidi aombe ruhusa asingizie mkewe kazidiwa akimbie kuwahi home kumpa wife kwapa!
Na hiyo ni kila siku,
Asubuhi, mchana na usiku.
Baada ya kujifungua jamaa akaapa hampi mimba nyingine mpaka labda miaka 8 ipite,
Maana'ke akikumbuka ile tabu aliyoipata ya kupeleka kwapa kama ratiba ya chakula
hana hamu kabisa!
Akamalizia kwa kuniambia kuwa,
"mdogo wangu seneta wa mtwiz,
Hawa viumbe ni wa kuwaelewa tu,
Vinginevyo utakonda kama ufagio wa mwanafunzi wa chekechea!"
------
Nimemaliza!
Juzi kanipigia simu brother mmoja wa wa kitaa cha #tegeta_tanki_bovu,
Ili nikampige twisheni ya kiswahili mdogo wake wa kike wa pale jangwani kwa kipindi cha likizo.
Sasa nimefika pale
Wakati tunakunywa chai
Brother akaanza kujikuta ananipa 'ubuyu' kama ifuatavyo,
"unajua nini ndugu wa mtwiz?
Kiukweli wakati mwingine vitu wanavyovipenda wanawake ni vya ajabu sana,
Yaani
Hawatabiriki kabisaaa!
unaweza shangaaa we' ni mwema,
Mkarimu,
Msafi,
una mwonekano mzuri,
Unavaa vizuri,
Una lugha nzuri na ya stara,
unaonesha kuguswa na masuala yake
na
kujisogeza karibu yake huku ukimshauri mambo mbalimbali endelevu
na ya ustawi wa uchumi na jamii yake,
Pia unaonesha utayari wa kusaidiana na'e katika hali na nyanja zote za maisha,
Ila
*tongozo* zako zinapigwa kibuti kila siku.
-------
Badala yake unakuja kubaini kuwa kahamishia attention yake yote kwa mwana flani mtaa wa 4,
Ambaye ni mlevi tu, anakunywa viroba kama maji,
Na anavuta sigara aina ya embassy balaa!
Kwenye mavazi sasa,
anavaa milegezo tako zote nje,
Na lugha yake hawezi kuongea maneno bila kutupia matusi,
Mwana sio mcheshi,
Ni mtu wa maudhi kichizi,
Na hana hata dalili ya kuonesha kumjali huyo binti hata kidogo,
Ila binti anatangaza anampenda kisa ana kisogo kirefu!
Sasa nd'o nini?!?!
Baadhi ya hawa ndugu zetu wa jinsia ingine yabidi tu tuwapeleke muhimbili,
Ili zifanyike jitihada za kuwapima akili!
************
Sasa hapohapo nd'o nikakumbuka stori ya brother mmoja
Ambaye ni jirani yetu hapa kitaa cha @kawe_ukwamani juzi tu alinisimulia
Jinsi alivyosumbuliwa na mkewe alipokuwa mjamzito.
Mke wa jamaa alipokuwa mjamzito alimsumbua sana, maana muda wote alikuwa anajisikia kunusa na kulamba kwapa la mumewe!
So, hata jamaa akiwa job anapigiwa simu apeleke kwapa haraka sana,
Ingawa ni kwa shingo upande inabidi aombe ruhusa asingizie mkewe kazidiwa akimbie kuwahi home kumpa wife kwapa!
Na hiyo ni kila siku,
Asubuhi, mchana na usiku.
Baada ya kujifungua jamaa akaapa hampi mimba nyingine mpaka labda miaka 8 ipite,
Maana'ke akikumbuka ile tabu aliyoipata ya kupeleka kwapa kama ratiba ya chakula
hana hamu kabisa!
Akamalizia kwa kuniambia kuwa,
"mdogo wangu seneta wa mtwiz,
Hawa viumbe ni wa kuwaelewa tu,
Vinginevyo utakonda kama ufagio wa mwanafunzi wa chekechea!"
------
Nimemaliza!