miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
Kwa kweli wewe una haki tu ya kusherekea it was never easy being a woman ... ,mentoring kids,Taking care of a grown ass man as long as you live ........whenever things went wrong you always take all the blames jamani
Ni kweli kabisa, wife,mom, wakati mwingine nurse au mwalimu sio kazi ndogo ila nashukuru mambo yanaenda vyema can't complain
Mkuu nna changamoto zaidi ya hizo.Isingekua umaskini wetu na kuendesha baiskeli birthday yako walau tungefanya Road trip along the Great Ocean Road ,Australia the exquisite combination of moist ocean breeze, soft whisperings of crashing waves, light music in a car badala ya kumwagiana maji ila ndio hivyo tena itabaki kua ndoto tu
Aisee pole sana hapo sidhani hata kama mtu ana smile itakua kila unaye pishana nae kanuna ...Birthday inayokuja opt for a wild safari in Africa, A wild birthday amidst the jungle of Africa with lions roaring and zebras running around being in the middle of wilderness; close to the nature.na hali ya hewa ni rafiki piaMkuu nna changamoto zaidi ya hizo.
Hapa sahizi kumefreeze Hatari tuko na -29 snow imeshakomaa kiasi cha kuweza kupita juu ya maji na baiskeli bila shida. Kumeganda mno. Sasa Birthday yangu pia huangukia kipindi cha baridi pia.
Umaskini ni tatizo kwakweli ila iko siku tutaweza kukamilisha ndoto hiyo
Ila sio na baiskeli lolAisee pole sana hapo sidhani hata kama mtu ana smile itakua kila unaye pishana nae kanuna ...Birthday inayokuja opt for a wild safari in Africa, A wild birthday amidst the jungle of Africa with lions roaring and zebras running around being in the middle of wilderness; close to the nature.na hali ya hewa ni rafiki pia
Hahah sio baiskeli aisee japo na umaskini wetu hatutashindwa kukodi gari ya tour na kulipia enterance fee ya national parksIla sio na baiskeli lol
Yanalazwa kwenye friji au wanachukua ya room temperature kisha wanaweka udongo wanakuvizia wakuogesheHayo maji huwa ni ya moto au baridi......?.....maana nahisi naweza kuua mtu.......
Yah huuko ndio kuCelebrate sio kumwagiwa maji ya bombami napenda kumwagiwa pombe mfano wine wine na whisky
Yanalazwa kwenye friji au wanachukua ya room temperature kisha wanaweka udongo wanakuvizia wakuogeshe