Haya maneno magumu kutoka kwa aliyewahi kuwa Rais wa Ufaransa ni ya kibaguzi?

Haya maneno magumu kutoka kwa aliyewahi kuwa Rais wa Ufaransa ni ya kibaguzi?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Haya maneno yaliyowahi kutamkwa na Sarkozy, rais wa Ufaransa kabla ya Macron. Aliyasema katika hotuba yake alipotembelea Africa kwa mara ya kwanza katika chuo kikuu cha Dakar, Senegal mwaka 2007

Maneno yenyewe yaliyolalamikiwa kuwa ni ya kibaguzi sana ni haya,

"The tragedy of Africa is that the African has not fully entered into history. They have never really launched themselves into the future,"

Kwa tafsiri isiyo rasmi "Tatizo la Africa ni kwamba Mwafrika bado hajaingia kwenye historia kikamilifu, hawajawahi kujiongoza/kujipeleka wenyewe katika wakati ujao"

Je haya maneno yana ishara yoyote ya ubaguzi?
 
Haya maneno yaliyowahi kutamkwa na Sarkozy, rais wa Ufaransa kabla ya Macron. Aliyasema katika hotuba yake alipotembelea Africa kwa mara ya kwanza katika chuo kikuu cha Dakar, Senegal mwaka 2007

Maneno yenyewe yaliyolalamikiwa kuwa ni ya kibaguzi sana ni haya,

"The tragedy of Africa is that the African has not fully entered into history. They have never really launched themselves into the future,"

Kwa tafsiri isiyo rasmi "Tatizo la Africa ni kwamba Mwafrika bado hajaingia kwenye historia kikamilifu, hawajawahi kujiongoza/kujipeleka wenyewe katika wakati ujao"

Je haya maneno yana ishara yoyote ya ubaguzi?
Yana justification.
 
Haya maneno yaliyowahi kutamkwa na Sarkozy, rais wa Ufaransa kabla ya Macron. Aliyasema katika hotuba yake alipotembelea Africa kwa mara ya kwanza katika chuo kikuu cha Dakar, Senegal mwaka 2007

Maneno yenyewe yaliyolalamikiwa kuwa ni ya kibaguzi sana ni haya,

"The tragedy of Africa is that the African has not fully entered into history. They have never really launched themselves into the future,"

Kwa tafsiri isiyo rasmi "Tatizo la Africa ni kwamba Mwafrika bado hajaingia kwenye historia kikamilifu, hawajawahi kujiongoza/kujipeleka wenyewe katika wakati ujao"

Je haya maneno yana ishara yoyote ya ubaguzi?
A bitter truth.
 
Haya maneno yaliyowahi kutamkwa na Sarkozy, rais wa Ufaransa kabla ya Macron. Aliyasema katika hotuba yake alipotembelea Africa kwa mara ya kwanza katika chuo kikuu cha Dakar, Senegal mwaka 2007

Maneno yenyewe yaliyolalamikiwa kuwa ni ya kibaguzi sana ni haya,

"The tragedy of Africa is that the African has not fully entered into history. They have never really launched themselves into the future,"

Kwa tafsiri isiyo rasmi "Tatizo la Africa ni kwamba Mwafrika bado hajaingia kwenye historia kikamilifu, hawajawahi kujiongoza/kujipeleka wenyewe katika wakati ujao"

Je haya maneno yana ishara yoyote ya ubaguzi?
Kwa jinsi tulivyo "WAJINGA", mbona katusifia sana tu!!!!....
 
wtu weusi ni drama queens, wana penda kulialia Hopeless kabisa
 
Back
Top Bottom