Haya maneno ya Kanye West yamenikasirisha. Kwani anaichukuliaje RAV 4?

Haya maneno ya Kanye West yamenikasirisha. Kwani anaichukuliaje RAV 4?

Planett

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2014
Posts
10,497
Reaction score
16,180
Wakuu nilikua nasikiliza wimbo mmoja wa Jay-z aliowashirikisha Kanye West na Rihanna unaoitwa RUN THIS TOWN, katika huo wimbo kuna mstari unaosomeka:

"What you think I rap for, to push a fucking Rav-4"

Yaani wakati wengine tunatambiana sijui Rav-4 new model, mara old model mara sijui kili time yeye anatukana hivyo gari yetu pendwa anaichukuliaje kwa mfano? Kweli Kanye akapimwe mkojo maana hamna namna sasa.

Nimekasirika sana Kanye popote ulipo.
 
Hicho chuma achana nacho mkuu akili zake anazijua mwenyewe, ktk hyo hyo ngoma kuna line anakwambia "next time when i'm in church please don't fall down" sasa cjui alikuwa anawaambia wale wazee wa kujiangusha church au anajua mwenyewe
 
Wakuu nilikua nasikiliza wimbo mmoja wa Jay-z aliowashirikisha Kanye West na Rihanna unaoitwa RUN THIS TOWN, katika huo wimbo kuna mstari unaosomeka:

"What you think I rap for, to push a fucking Rav-4"

Yaani wakati wengine tunatambiana sijui Rav-4 new model, mara old model mara sijui kili time yeye anatukana hivyo gari yetu pendwa anaichukuliaje kwa mfano? Kweli Kanye akapimwe mkojo maana hamna namna sasa.

Nimekasirika sana Kanye popote ulipo.
akanye west huku east hakuna choo
 
hahahhahahhaa yaani ni sawa na kirikou!
Siyo kweli, nimeona gari kibao Rav $, harrier hizi za mwaka 2006 huku tunaziita matako ya nyani, Toyota Prius Hybrid kibao kwenye movie za Kimarekani
 
Kweli kabisq
Screenshot_2020-09-24-19-59-56-157_com.chrome.beta.jpg
 
Wakuu nilikua nasikiliza wimbo mmoja wa Jay-z aliowashirikisha Kanye West na Rihanna unaoitwa RUN THIS TOWN, katika huo wimbo kuna mstari unaosomeka:

"What you think I rap for, to push a fucking Rav-4"

Yaani wakati wengine tunatambiana sijui Rav-4 new model, mara old model mara sijui kili time yeye anatukana hivyo gari yetu pendwa anaichukuliaje kwa mfano? Kweli Kanye akapimwe mkojo maana hamna namna sasa.

Nimekasirika sana Kanye popote ulipo.
Bora wewe mwenye RAV4 wengine tuna tized 11
 
Ni sehemu ya wimbo tu hiyo, alafu hizi gari hawazijui kule kwao.
US Rav 4 iko kwa sana tu.,ila wao huko hizo wanaziona kama chombo cha usafiri na sio gari kama gari.
 
Tafuta hela kijana uache mambo ya kukasirika kasirika ovyo bila ya sababu....Hiyo iwe kama motivation kwako
 
Mwenyewe niliwahi jiuliza sana nikaingia Rap Genius uwa wana tafsiri kila mstari. Nikapata hii:

This line was inspired by a guy who was working on Kanye’s album in Hawaii who also drove Kanye around Hawaii in a Rav 4.
 
Back
Top Bottom