Haya maneno ya Kanye West yamenikasirisha. Kwani anaichukuliaje RAV 4?

Haya maneno ya Kanye West yamenikasirisha. Kwani anaichukuliaje RAV 4?

Wakuu nilikua nasikiliza wimbo mmoja wa Jay-z aliowashirikisha Kanye West na Rihanna unaoitwa RUN THIS TOWN, katika huo wimbo kuna mstari unaosomeka:

"What you think I rap for, to push a fucking Rav-4"

Yaani wakati wengine tunatambiana sijui Rav-4 new model, mara old model mara sijui kili time yeye anatukana hivyo gari yetu pendwa anaichukuliaje kwa mfano? Kweli Kanye akapimwe mkojo maana hamna namna sasa.

Nimekasirika sana Kanye popote ulipo.
Tangia 2010 ndo unashtuka saivi?
 
Kanye alienda Hawaii kufanya show so kwenda kumpokea na kumtembeza mjini wenyeji wake walikua wanatumia rav4 Kanye alikua hajafurahia lile jambo like "mimi waku roll kwenye rava 4" haha fun little tho
 
Wakuu nilikua nasikiliza wimbo mmoja wa Jay-z aliowashirikisha Kanye West na Rihanna unaoitwa RUN THIS TOWN, katika huo wimbo kuna mstari unaosomeka:

"What you think I rap for, to push a fucking Rav-4"

Yaani wakati wengine tunatambiana sijui Rav-4 new model, mara old model mara sijui kili time yeye anatukana hivyo gari yetu pendwa anaichukuliaje kwa mfano? Kweli Kanye akapimwe mkojo maana hamna namna sasa.

Nimekasirika sana Kanye popote ulipo.

[emoji23][emoji23] ashakuambia anapenda "whips " (sports cars) .
Hii niliwahi ifuatiliaga nikapata stori kuwa jamaa aliwahi kwenda hawaii wakati ana andaa moja ya album zake ,sasa aliyempokea ndo akawa anamzungusha hawaii nzima kwa rav 4 .
Hivyo jamaaa ana bonge la historia na hivyo vigari.
 
Hicho chuma achana nacho mkuu akili zake anazijua mwenyewe, ktk hyo hyo ngoma kuna line anakwambia "next time when i'm in church please don't fall down" sasa cjui alikuwa anawaambia wale wazee wa kujiangusha church au anajua mwenyewe
Si fall down ni hivi.
"Next time am in church , please no photos".
Ni kwamba kwemye msiba wa mama yake kabla ya hii nyimbo(run this town) kuachiliwa .
Jamaaa alipata shida sana na ma paparazi kanisani.
 
Wakuu nilikua nasikiliza wimbo mmoja wa Jay-z aliowashirikisha Kanye West na Rihanna unaoitwa RUN THIS TOWN, katika huo wimbo kuna mstari unaosomeka:

"What you think I rap for, to push a fucking Rav-4"

Yaani wakati wengine tunatambiana sijui Rav-4 new model, mara old model mara sijui kili time yeye anatukana hivyo gari yetu pendwa anaichukuliaje kwa mfano? Kweli Kanye akapimwe mkojo maana hamna namna sasa.

Nimekasirika sana Kanye popote ulipo.
Magari ya Asia ....USA na Ulaya ni ya wabeba maboksi
 
ila wewe mod unayejishughulisha na kuedit thread zangu nakuvutia kasi tuu, subiri dawa yako inachemka
 
Hicho chuma achana nacho mkuu akili zake anazijua mwenyewe, ktk hyo hyo ngoma kuna line anakwambia "next time when i'm in church please don't fall down" sasa cjui alikuwa anawaambia wale wazee wa kujiangusha church au anajua mwenyewe
Hakusema hivo, kilicho semwa ni


Next time I'm in church, please no photos
 
Marekani kuna gari za kutisha,gari ambazo hutawahi kuziona bongo leo hata kesho na zinadharaulika,sembuse hiyo RAV-4
 
Umebadili maana ya huo mstari kwa kutokuweka alama ya kuuliza mwisho wa mstari.
 
Hicho chuma achana nacho mkuu akili zake anazijua mwenyewe, ktk hyo hyo ngoma kuna line anakwambia "next time when i'm in church please don't fall down" sasa cjui alikuwa anawaambia wale wazee wa kujiangusha church au anajua mwenyewe

Next time am in church, please no photos... Akiwaambia paparazzi.
 
Back
Top Bottom