Wordsworth
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 1,191
- 3,360
Tangia 2010 ndo unashtuka saivi?Wakuu nilikua nasikiliza wimbo mmoja wa Jay-z aliowashirikisha Kanye West na Rihanna unaoitwa RUN THIS TOWN, katika huo wimbo kuna mstari unaosomeka:
"What you think I rap for, to push a fucking Rav-4"
Yaani wakati wengine tunatambiana sijui Rav-4 new model, mara old model mara sijui kili time yeye anatukana hivyo gari yetu pendwa anaichukuliaje kwa mfano? Kweli Kanye akapimwe mkojo maana hamna namna sasa.
Nimekasirika sana Kanye popote ulipo.
Wakuu nilikua nasikiliza wimbo mmoja wa Jay-z aliowashirikisha Kanye West na Rihanna unaoitwa RUN THIS TOWN, katika huo wimbo kuna mstari unaosomeka:
"What you think I rap for, to push a fucking Rav-4"
Yaani wakati wengine tunatambiana sijui Rav-4 new model, mara old model mara sijui kili time yeye anatukana hivyo gari yetu pendwa anaichukuliaje kwa mfano? Kweli Kanye akapimwe mkojo maana hamna namna sasa.
Nimekasirika sana Kanye popote ulipo.
Si fall down ni hivi.Hicho chuma achana nacho mkuu akili zake anazijua mwenyewe, ktk hyo hyo ngoma kuna line anakwambia "next time when i'm in church please don't fall down" sasa cjui alikuwa anawaambia wale wazee wa kujiangusha church au anajua mwenyewe
umemaliza kila kitu. mada iishie hapaNo nigga rap for rav 4,niggaz always rap to push fancy cars
Magari ya Asia ....USA na Ulaya ni ya wabeba maboksiWakuu nilikua nasikiliza wimbo mmoja wa Jay-z aliowashirikisha Kanye West na Rihanna unaoitwa RUN THIS TOWN, katika huo wimbo kuna mstari unaosomeka:
"What you think I rap for, to push a fucking Rav-4"
Yaani wakati wengine tunatambiana sijui Rav-4 new model, mara old model mara sijui kili time yeye anatukana hivyo gari yetu pendwa anaichukuliaje kwa mfano? Kweli Kanye akapimwe mkojo maana hamna namna sasa.
Nimekasirika sana Kanye popote ulipo.
Hakusema hivo, kilicho semwa niHicho chuma achana nacho mkuu akili zake anazijua mwenyewe, ktk hyo hyo ngoma kuna line anakwambia "next time when i'm in church please don't fall down" sasa cjui alikuwa anawaambia wale wazee wa kujiangusha church au anajua mwenyewe
akanye west huku east hakuna choo
Hicho chuma achana nacho mkuu akili zake anazijua mwenyewe, ktk hyo hyo ngoma kuna line anakwambia "next time when i'm in church please don't fall down" sasa cjui alikuwa anawaambia wale wazee wa kujiangusha church au anajua mwenyewe