Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Aisee hii chui umeiokota wapi?Hahahaha halafu asubuhi unaamka unakuta kumbe ulibeba mzigo kama huu
Sasa imagine siku ukikutana nayo itakuwajeSijawahi kutana na ayo maneno
Habari guys.
Hv unajisikiaje unaingia guest/logde na demu wako chumbani ukakuta maneno kama haya nyuma ya mlango na vyooni kote. "KUWA MAKINI UKIMWI UPO NA UNAUA" Hapo kumbuka umekamia mechi na huna hata kondom.
Duh huwa inaniharibia mood ya kung'onika kabisa
[emoji52][emoji52][emoji52][emoji52][emoji52]Habari guys.
Hv unajisikiaje unaingia guest/logde na demu wako chumbani ukakuta maneno kama haya nyuma ya mlango na vyooni kote. "KUWA MAKINI UKIMWI UPO NA UNAUA" Hapo kumbuka umekamia mechi na huna hata kondom.
Duh huwa inaniharibia mood ya kung'onika kabisa
unajua kuna wa2 wanajikosesha wateja wenyewe....sasa ulifkiri nitarud tena hapo?[emoji35]Kuna Guest nyingine ilikua imeandikwa "Ndugu Mteja, furaha ya muda mfupi itakuletea majuto maisha yako yote, Roho wa Mungu akuongoze katika maamuzi yako haya"!!! Hahahaha hahahaha unaweza kuahirisha!!
Itabidi niwe mpole tuSasa imagine siku ukikutana nayo itakuwaje