Haya maneno yanaboa sana kwenye hizi Guest na lodge mbalimbali

Haya maneno yanaboa sana kwenye hizi Guest na lodge mbalimbali

Habari guys.

Hv unajisikiaje unaingia guest/logde na demu wako chumbani ukakuta maneno kama haya nyuma ya mlango na vyooni kote. "KUWA MAKINI UKIMWI UPO NA UNAUA" Hapo kumbuka umekamia mechi na huna hata kondom.

Duh huwa inaniharibia mood ya kung'onika kabisa

Mhm hii mbona sio kweli mzee....yaani umesha dinda mako stamina utakuwa na mjda ata wakusoma...hapo ni mwendo wakugaragazana tuu. Tena mie napenda zile lodge zenya vitanda vya tofali...hapo rough match inakwenda bila matatizo
 
Habari guys.

Hv unajisikiaje unaingia guest/logde na demu wako chumbani ukakuta maneno kama haya nyuma ya mlango na vyooni kote. "KUWA MAKINI UKIMWI UPO NA UNAUA" Hapo kumbuka umekamia mechi na huna hata kondom.

Duh huwa inaniharibia mood ya kung'onika kabisa
[emoji52][emoji52][emoji52][emoji52][emoji52]
 
Kuna Guest nyingine ilikua imeandikwa "Ndugu Mteja, furaha ya muda mfupi itakuletea majuto maisha yako yote, Roho wa Mungu akuongoze katika maamuzi yako haya"!!! Hahahaha hahahaha unaweza kuahirisha!!
unajua kuna wa2 wanajikosesha wateja wenyewe....sasa ulifkiri nitarud tena hapo?[emoji35]
 
Back
Top Bottom