Haya maneno yanaboa sana kwenye hizi Guest na lodge mbalimbali

Haya maneno yanaboa sana kwenye hizi Guest na lodge mbalimbali

Guest siyo level yangu. Ni Hotel au Lodge zenye hadhi.
Kwenye Guest hupelekwa mademu wa grade ya chini.
Samahani5kama nitawakwaza baadhi. Ukweli lazima usemwe!
Naona hili ndo dhumuni lako na ndio kitu ukichosubiri uki-state hapa By the way tumejua kuwa unatumiaga Hotel tena ni Selena Hotel hongera
 
Naona hili ndo dhumuni lako na ndio kitu ukichosubiri uki-state hapa By the way tumejua kuwa unatumiaga Hotel tena ni Selena Hotel hongera
Hotel za kawaida Kiongozi. Lakini si Guest zenye kunguni.
Wanawake wana appreciate sana kuwapeleka sehemu nzuri. Kumlainisha kunaanzia hapo.
 
Maneno yanakukumbusha kuilinda afya yako unasema yanaboa[emoji849][emoji3166]poleh
 
Habari guys.

Hv unajisikiaje unaingia guest/logde na demu wako chumbani ukakuta maneno kama haya nyuma ya mlango na vyooni kote. "KUWA MAKINI UKIMWI UPO NA UNAUA" Hapo kumbuka umekamia mechi na huna hata kondom.

Duh huwa inaniharibia mood ya kung'onika kabisa
Saa ingine ujiulize je ,,,upo duniani kulinda dunia?
Kwamba wewe ndy Mlinzi?
Watu wote waondoke duniani ubaki wewe tu?
Au dunia sote tutakufa?
Ukiwa na mawazo hayo ...hakuna maneno yatakukatisha moody..
 
shombe,Mwanaume hatakiwi kukosa Condom ,kuwa nazo kwenye wallet,bag la mgongoni,kwenye jacket nk kama unajijua ni mtu wa “mechi”
 
Kuna Guest nyingine ilikua imeandikwa "Ndugu Mteja, furaha ya muda mfupi itakuletea majuto maisha yako yote, Roho wa Mungu akuongoze katika maamuzi yako haya"!!! Hahahaha hahahaha unaweza kuahirisha!!

hahahaha[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Habari guys.

Hv unajisikiaje unaingia guest/logde na demu wako chumbani ukakuta maneno kama haya nyuma ya mlango na vyooni kote. "KUWA MAKINI UKIMWI UPO NA UNAUA" Hapo kumbuka umekamia mechi na huna hata kondom.

Duh huwa inaniharibia mood ya kung'onika kabisa

Kwa Sisi wenye Damu 'Group O+' halafu pia tuna Matatizo ya Pumu ( Asthma ) hayo maneno na UKIMWI Wenyewe wala 'haututishi' kabisa Mkuu.
 
Habari guys.

Hv unajisikiaje unaingia guest/logde na demu wako chumbani ukakuta maneno kama haya nyuma ya mlango na vyooni kote. "KUWA MAKINI UKIMWI UPO NA UNAUA" Hapo kumbuka umekamia mechi na huna hata kondom.

Duh huwa inaniharibia mood ya kung'onika kabisa
Pale sio notice board hivyo usishughulike na yale matangazo....mimi nikiingia concentration yangu ni moja tuu KITANDA

Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom