Hello Buzi.
hako kadada kananichefua sitakagi hata kukaona
picha zake zote nilizowahi kuziona ni za usoni tu.......
vp wale nyani wameondoka haswa lile kubwa
Mkuu wewe hupendi kuitwa "my
Angel, My Husband, My
Forever Favorite Man. My
sugar My sweetie My
heart .. my better and half,
My life .My Boifriend..".....??
ngoja nimpitie demu wangu wa uswazi vinibwi tukale ugali na mlenda tufanye yetu,haya mambo ya mapenzi ya kwenye tv wakti tunapanda dalala hayafai..............mambo ya ice cream cjui hey baby..watu mnakula chips mnaenda kufanya kale kamchezo...
Hawa hapa mkuu mamsapkhan wadhaminishe hapa down.Kama mtu ana picha za diva na gk aweke tusiomjua tudhaminishe