Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Tanesco mtatuua nyie watu huyu kaka analalamika umeme ,kwamba demu wake akija na joto la Dar na mbu watapakana jasho haswaa kwa hiyo anawaomba wawashe[emoji23][emoji23][emoji23] mimi kwetu li transfoma limeharibika umeme hakuna toka jana tanesco mnanifikiriaje meme,mnafanya mpaka G wangu anaulizia bei ya Transfoma jamani msinifanyie hivyo akinikosa kwa simu ni shidaa jana siku nzima tunaongelea transfoma kama kuna uwezekano aninunulie ya kwangu tu likiharibika la Tanesco nawasha ya kwangu (mapenzi ni uchizi nyie tuacheni tu ,mpaka dakika hii sioni dalili ya umeme .
Basi poa tu kila kitu kitaenda poa naamini ,Tanesco msije kutugombanisha nyie mutengenezege haraka
"Hivi kweli unaweza jinunulia transfoma yako mwenyewe eti ? [emoji6][emoji6][emoji6]"
Basi poa tu kila kitu kitaenda poa naamini ,Tanesco msije kutugombanisha nyie mutengenezege haraka
"Hivi kweli unaweza jinunulia transfoma yako mwenyewe eti ? [emoji6][emoji6][emoji6]"