george aloyce
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 1,302
- 2,023
- Thread starter
-
- #141
Ndio akili yko ilikofikia mkuuMbna Kama chai hii
Tugee story kidogoKama hujawahi kulogwa na mwanamke unaeishi nae endelea kusali sana na kumshukuru pia aepushe isitokee.
Yaani unakuwa huelewii elewii aisee sitokaa nisahau yule mnyaturu dah hii kabila hii
TrueTumekusoma mkuu
Ndo maana mnang`olewa meno na kutobolewa macho kwa usenge kama huo.4m nayo hela ya mtaji?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Majumba yanaficha mengi mno. Yule mnaeweza kuhisi mbabe kabisa ukute ndani kwake anavalishwa kibwebwe na kuchezeshwa kibinda nkoi.
As long as jamaa hambughudhi mtu mwacheni na maisha yake. Hamjui anapewa nini chumbani. SIku akipata mtaalam zaidi ataondoka aende kupiga magoti kwa mwingine.
Ankoliii 4M afu sio mkeo?? Watu mna hela za kzchezea [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]4M+ kawaida tu, wala sio ya kujiliza liza.. hapo ni kujipoga kifuani na kusema hapa nimetoa bokoo [emoji28][emoji28] ila sio kuanza kutoa chozi
Anko acha, michepuko ni nomaaa, ndio maana siku hizi nakula vitoto vya kimboka tu, elfu tano yangu namaliza nyege narudi magetono mwepesiAnkoliii 4M afu sio mkeo?? Watu mna hela za kzchezea [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Inawezekana maana nshaonaga tukio kama hili mahaliaπ π nimeiosoma hiyo story ila naona kama chai ,hakuna m/me aliyekamilika akafanya huo upumbavu hata kama amewekewa limbwata.
Hii ndo sababu nikishamtoa mtu kalipia kodi mwaka iwe frem au apatiment group la madalali naleft kwanza naenda napiga pamba sisalimii watu naenda obay kusaka wa bei juu zikiisha narudi KEKO MAGURUMBASIFor wanaume ππππ wenzangu tujifunze kujipa outing hata wenyewe.......
vaa vizuri pendeza alaf kale jasho lako (Bata) kidogo sio unafanya kazi ngumu unapata pesa zote unapeleka kuhonga MWANAMKE......
Wengine hawavai kabisa pesa zote Kwa wanawake na Malaya......
Hapa nazungumza na wanaume wabangaizaji wahangaikaji ambao hatuna sekta maalum.....π€π€π€π€
π€Hii ndo sababu nikishamtoa mtu kalipia kodi mwaka iwe frem au apatiment group la madalali naleft kwanza naenda napiga pamba sisalimii watu naenda obay kusaka wa bei juu zikiisha narudi KEKO MAGURUMBASI
Mkuu,Anko acha, michepuko ni nomaaa, ndio maana siku hizi nakula vitoto vya kimboka tu, elfu tano yangu namaliza nyege narudi magetono mwepesi