Haya mapenzi sio ya kawaida jamani

Kama hujawahi kulogwa na mwanamke unaeishi nae endelea kusali sana na kumshukuru pia aepushe isitokee.
Yaani unakuwa huelewii elewii aisee sitokaa nisahau yule mnyaturu dah hii kabila hii
Tugee story kidogo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii ndo sababu nikishamtoa mtu kalipia kodi mwaka iwe frem au apatiment group la madalali naleft kwanza naenda napiga pamba sisalimii watu naenda obay kusaka wa bei juu zikiisha narudi KEKO MAGURUMBASI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…