Mimi ni mwanatarime ijapokuwa kwa sasa sipo huko, watu wanaolima bangi ni watu Innocent sana hawana time na MTU na asilimia 80% ya watu wanaochangia maendeleo wilayani Tarime kama vile wanaochangia vitu katika ujenzi wa mashule na nyumba za walimu ni wakulima wa bangi na wafanya biashara wa bangi, kwa Tarime bangi haimuathiri MTU na kuna watu wakivuta bangi wanaenda kuzalisha kama vile kulima,
"Nyie wanaume wa Dar ndio mkivuta bangi mnawaza kufilw* na kuwa watu wa hovyo na umbea umbeya ila wanatarime tunajua bangi ni kichocheo maendeleo!
Sent using [pencil ya alikiba]Jamii Forums