haya maswali yanamaanisha nini kwenye usahili?

haya maswali yanamaanisha nini kwenye usahili?

pomo

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2011
Posts
267
Reaction score
33
nilikuwa kwenye usahili kwenye shirika moja hivi, nikaulizwa maswali haya "have you ever cheat any one? na have you steal anything in your life? nilishindwa nijibu nini kwani sikujua wanataka nini
 
isnt cheating same as lobbying? sijawahi kukutana na hii, bt quickly i would think of a way to talk positively on a circumstance where i cheated.kiukweli sijui kama kwenye business unaweza ku-survive bila a bit of cheating.kuna zile za 'i sent u that document on email,if u ddnt get it ngoja niangalie'. afu unaenda kutengeneza doc chap chap na kuituma saying 'sorry, our server was down...'. sometimes unaulizwa mna manual flani,unasema yap,i will send it. then unaitengeneza na ku-backdate. if u call that cheating, well a few times for business interest i might have done it!!
that is how ninge-bluff. by the way, ukiona swali tata kwenye interview unamalizia na 'have i answered ur qn?'.. they will see ur confidence na pengine kama hukujibu ata-rephrase swali na kukupa jibu hapohapo,lol
 
They wanted to know your criminal records.However it is better you tell them the truth.
 
They wanted to know your criminal records.However it is better you tell them the truth.
duh sasa ukisema ukweli kama ulikwisha wahi kuiba au umekwisha danganya sana si utakosa kazi? na unaweza sema hujawahi danganya wakaona huwafai kwenye kampuni yao
 
It is better to confence and request for forgiveness than being unfaithfully.
 
duh sasa ukisema ukweli kama ulikwisha wahi kuiba au umekwisha danganya sana si utakosa kazi? na unaweza sema hujawahi danganya wakaona huwafai kwenye kampuni yao
<br />
<br />
Ha ha ha ha ha ha Tehe tehe tehe ! Kwi kwi kwi kwi !
 
duh sasa ukisema ukweli kama ulikwisha wahi kuiba au umekwisha danganya sana si utakosa kazi? na unaweza sema hujawahi danganya wakaona huwafai kwenye kampuni yao
<br />
<br />
Everybody lies acha uoga,unawapa makavu na kazi lazima wakupe
 
maybe they wanted u to work in middle east, sometimes wearing burka,hijab and artficial beads trying to collect useful info for alqaeda next time don't loose such opportunity it pays a lot.
 
ningejibu hiviiiiii. mhh .........aaaa...........
sasa ndo jibu gani hulo? ila co mbaya linaweza kuwa ni jibu, inategemea na watakavyo tafsiri
 
Wanataka kujua kama umeshawah kustil au kuchit mtu yeyote
 
Back
Top Bottom