Hivi vinavyoitwa matamasha ya kikabila yanayojitokeza kwa kasi siku hizi havina afya ktk kujenga umoja wa kitaifa. Kuna ajenda gani imejificha humu? Walianza wasukuma, halafu wanaigana utafikiri sifa kumbe ni janga. Karne hii watu mnatukuza ukabila? Mnaunda vikundi vinavyohamasisha ubaguzi? Viongozi wakuu mpo mnawakodolea macho mnafikiri wanafanya jambo la maana? Eti utamaduni tunataka utamaduni wa kitaifa.
Wanyakyusa wanasifika kwa ukabila, kuna wakati walijazana NBC lugha rasmi ofisini ilikuwa kinyakyusa wakaiua NBC kupelekea kuuzwa. Serikali ikemee hivi vikundi kabla haijachelewa, maadui wa Taifa hupenyezea ajenda zao humu.
Wanyakyusa wanasifika kwa ukabila, kuna wakati walijazana NBC lugha rasmi ofisini ilikuwa kinyakyusa wakaiua NBC kupelekea kuuzwa. Serikali ikemee hivi vikundi kabla haijachelewa, maadui wa Taifa hupenyezea ajenda zao humu.