Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,417
- 5,579
Kuna makabila ya hovyo yenye tabia za umimi ila sioni kama wanyaki sio one of them. Hawa jamaa wanajua kujichanganya na jamii tofauti bila shida.
Tatizo kubwa lipo ile miji ya utalii kule ndio kuna raia flani hujionaga wanastahili kila kitu mbele ya watanzania wenzao.
Tatizo kubwa lipo ile miji ya utalii kule ndio kuna raia flani hujionaga wanastahili kila kitu mbele ya watanzania wenzao.