Haya matamasha ya kikabila ni janga la Taifa: sasa hivi Wanyakyusa wako ITV

Hakuna kabila lenye HIMAYA yake kwahyo tuache woga tuwaache watu wafanye tamasha lao watu wapate ulaji na ajira za muda mfup.

Sasa kama tunawaogopa wanyakyusa je wasukuma wakifanya si ndo tutahama nchiiiii.
Watu wafanye hafla zao ila tu wasivunje katika na sheria za nchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…