Haya matukio yalinifanya niamini uchawi upo

Haya matukio yalinifanya niamini uchawi upo

Uchawi ambao Mimi nauamini ni uchawi wa kuwaambia watu mambo yako yakiwa bado katika mchakato.

Huo ndo uchawi Ila Mimi nauita negative energy kwamba kuna watu ukiwapa habari zako nzuri ile kuumia ndo uchawi wenyewe.


Habari za mzee nani mchawi Mimi huwa nabaki kuzisikia na huwa siziamini .
 
Uchawi ambao Mimi nauamini ni uchawi wa kuwaambia watu mambo yako yakiwa bado katika mchakato.

Huo ndo uchawi Ila Mimi nauita negative energy kwamba kuna watu ukiwapa habari zako nzuri ile kuumia ndo uchawi wenyewe.


Habari za mzee nani mchawi Mimi huwa nabaki kuzisikia na huwa siziamini .

We Jamaa. una akili sana
 
Uchawi ambao Mimi nauamini ni uchawi wa kuwaambia watu mambo yako yakiwa bado katika mchakato.

Huo ndo uchawi Ila Mimi nauita negative energy kwamba kuna watu ukiwapa habari zako nzuri ile kuumia ndo uchawi wenyewe.


Habari za mzee nani mchawi Mimi huwa nabaki kuzisikia na huwa siziamini .
Uchawi upo Mzee
 
Huu ni uongo mtupu. Police gani wa kulipa hela ya engine ya gari hata kama ni laki 3 hakuna
Kitu kimepotea mikonon mwako kwann usilipe, police wanaangalia wew ni mtu wa namna gan kama boyaboya hulipwi kwel
 
Nenda kaishi makaburini Uwaone wakiwa wanakuja kusalimia mizimu yao
Kwa umri wangu nilionao sijawahi wala watu wangu wa karibu kushuhudia/kufanyiwa uchawi vipi niamini???


Kama ni makaburini mkuu watu tulishawahi kukeshe tena bila hata taa Chaa ajabu sana labda mbwa kuja kupandiana ila sio unaowaita "mizimu/wachawi"
 
Kwa umri wangu nilionao sijawahi wala watu wangu wa karibu kushuhudia/kufanyiwa uchawi vipi niamini???


Kama ni makaburini mkuu watu tulishawahi kukeshe tena bila hata taa Chaa ajabu sana labda mbwa kuja kupandiana ila sio unaowaita "mizimu/wachawi"
😳😳😳😳
 
Kwa umri wangu nilionao sijawahi wala watu wangu wa karibu kushuhudia/kufanyiwa uchawi vipi niamini???


Kama ni makaburini mkuu watu tulishawahi kukeshe tena bila hata taa Chaa ajabu sana labda mbwa kuja kupandiana ila sio unaowaita "mizimu/wachawi"
Makaburi ya wapi nikashuhudie
 
Huwa nashangaa sana mtu kusema Hamna uchawi ila kusema kweli uchawi upo tena bila chenga.

Haya ni baadhi ya matukio ambayo yaliweza kuniaminisha kuwa uchawi upo.

TUKIO LA 1#
Miaka ya 2000s wakati huo nipo mkoa wa Iringa, kulikuwa na Mzee mmoja yeye shughuli yake ilikuwa ni kuchukua ulazi(bamboo juice)vijijini Kwa wagemaji na kupeleka kuuza mjini.

Sasa huyu Mzee alikuwa akimiliki gari Moja bovuu mno Yani bovu haswaa ambalo alikuwa akilitumia ktk shughuli za biashara yake. Sasa wakati anapeleka ulanzi alikuwa akikumbana na police ambao walikuwa wakishikilia gari lake kutokana na ubovu halina vigezo vya kutumika barabarani.

Sasa police walipeleka gari kituoni ili kumpiga Mzee faini, Mzee yule aliomba masaa kadhaa ajichange ili alipe faini, baada ya kama nusu saa Mzee aliludi kituoni ili kuwalipa faini police, Sasa Mzee kabla ya kulipa aliwaomba police achunguze gari lake kama lipo salama kama alivoliacha, Mzee baada ya kulicheki gari akawaambia police mbona gari langu engine haipo? Police kuangalia kweli engine Hamna na haijapita hata lisaa tangu Mzee awaachie gari, na police walikuwa hapohapo kituoni ikabidi police waanze kuangalia utaratibu wa kumlipa Mzee engine ya gari lake.

So baada ya police kumlipa yule Mzee alichukua gari na kuondaka wakati lilikuwa halina engine police walibaki midomo wazi,.

So huyu Mzee kila akishikiliwa na police walikuwa lazima wakutane na vibwenga vyovyote yaani lazima Mzee alipwe, ilifika muda Mzee akawa anaogopwa hakuna police wa kumshika labda wale police wageni ambao walikuwa hawamjui yule Mzee.

TUKIO LA 2#
Hiyohiyo Miaka ya 2000s ktk Kijiji ambacho nilikuwa nikiishi kulikuwa na Mzee mmoja ambaye alikuwa akijulikana na kijiji kizima kutokana na ushirikina,.

Sasa huyu Mzee alikuwa akisadikika kwamba anaua watoto wake kutokana na vifo vya kufa ovyo watoto wake tena ktk mazingira tatanishi, Sasa ndugu zake walikuwa wakimuuliza kwaniin unaua wanae ovyo, yeye anajibu kwan Kkna ubaya kuku kula mayai yake.

Baada ya hali kuwa mbaya misiba ya watoto wake imekuwa mingi, ikabidi wanandugu wakae pamoja kumtishia Mzee atolewe hayo madude yanayosadikika kuwa ndiyo chazo cha hivo vifo vya watoto wke.

Kweli Mzee bila hiyana akakubali kutolewa hayo madude yake ila akawaambia sijamwona mganga wa kutoa hivi vitu mpaka hapa vilipofikia. Wanandugu wakatangaza tenda mganga akajitokeza, nakumbuka zilitakiwa kutolewa ng'ombe sita Kwa mganga atakayetoa.

So mganga alikuja na team yake tayari kwa kazi, yule Mzee(anayetolewa uchawi)nakumbuka aliwaambia umati kuwa huyu mganga aliyekuja hatoshi kutoa hayo madude yake kwani Bado ni mtoto mdogo, watu wakajua ni dhihaka.

Bwana weee! mganga aliingia ndani ya nyumba ya yule mzee na wasaidizi wake wawili, umati wa watu tukiwa nje tunasubiri anayojiri.

Baada ya kama dakika Tano mlango ulijifunga mganga na wasaidizi wake wakiwa ndani, mara tukaaza kusikia vilio vya kuomba msaada, ikabidi tulio kuwa nje tuanze kubomoa mlango, jamaa watoke kweli zoezi la kubomoa mlango lilifanikiwa ila yule mganga na wasaidizi wake waliugua ukichaa, wakawa vichaa kabisa kabisa, wakati hayo yote yanatokea Mzee alikuwa akicheka vibaya mno mbavu Hana😂

Nakumbuka waliletwa waganga wengine kutoka mikoa ya mbali lakini still walishindwa so, solutions yule Mzee alikuja kuuliwa na tena Kwa timing mno maana hata zoezi la kuuliwa nalo lilikuwa limeshindikana.
sipping-tea-andre3000.gif
 
TANGAZO:Kwa wale wote ambao hawaamini kama uchawi upo tujuane ili siku nikimaliza mafunzo yangu ya uchawi nije niwapige tukio moja litakalo waaminisha uchawi upo
 
Huwa nashangaa sana mtu kusema Hamna uchawi ila kusema kweli uchawi upo tena bila chenga.

Haya ni baadhi ya matukio ambayo yaliweza kuniaminisha kuwa uchawi upo.

TUKIO LA 1#
Miaka ya 2000s wakati huo nipo mkoa wa Iringa, kulikuwa na Mzee mmoja yeye shughuli yake ilikuwa ni kuchukua ulazi(bamboo juice)vijijini Kwa wagemaji na kupeleka kuuza mjini.

Sasa huyu Mzee alikuwa akimiliki gari Moja bovuu mno Yani bovu haswaa ambalo alikuwa akilitumia ktk shughuli za biashara yake. Sasa wakati anapeleka ulanzi alikuwa akikumbana na police ambao walikuwa wakishikilia gari lake kutokana na ubovu halina vigezo vya kutumika barabarani.

Sasa police walipeleka gari kituoni ili kumpiga Mzee faini, Mzee yule aliomba masaa kadhaa ajichange ili alipe faini, baada ya kama nusu saa Mzee aliludi kituoni ili kuwalipa faini police, Sasa Mzee kabla ya kulipa aliwaomba police achunguze gari lake kama lipo salama kama alivoliacha, Mzee baada ya kulicheki gari akawaambia police mbona gari langu engine haipo? Police kuangalia kweli engine Hamna na haijapita hata lisaa tangu Mzee awaachie gari, na police walikuwa hapohapo kituoni ikabidi police waanze kuangalia utaratibu wa kumlipa Mzee engine ya gari lake.

So baada ya police kumlipa yule Mzee alichukua gari na kuondaka wakati lilikuwa halina engine police walibaki midomo wazi,.

So huyu Mzee kila akishikiliwa na police walikuwa lazima wakutane na vibwenga vyovyote yaani lazima Mzee alipwe, ilifika muda Mzee akawa anaogopwa hakuna police wa kumshika labda wale police wageni ambao walikuwa hawamjui yule Mzee.

TUKIO LA 2#
Hiyohiyo Miaka ya 2000s ktk Kijiji ambacho nilikuwa nikiishi kulikuwa na Mzee mmoja ambaye alikuwa akijulikana na kijiji kizima kutokana na ushirikina,.

Sasa huyu Mzee alikuwa akisadikika kwamba anaua watoto wake kutokana na vifo vya kufa ovyo watoto wake tena ktk mazingira tatanishi, Sasa ndugu zake walikuwa wakimuuliza kwaniin unaua wanae ovyo, yeye anajibu kwan Kkna ubaya kuku kula mayai yake.

Baada ya hali kuwa mbaya misiba ya watoto wake imekuwa mingi, ikabidi wanandugu wakae pamoja kumtishia Mzee atolewe hayo madude yanayosadikika kuwa ndiyo chazo cha hivo vifo vya watoto wke.

Kweli Mzee bila hiyana akakubali kutolewa hayo madude yake ila akawaambia sijamwona mganga wa kutoa hivi vitu mpaka hapa vilipofikia. Wanandugu wakatangaza tenda mganga akajitokeza, nakumbuka zilitakiwa kutolewa ng'ombe sita Kwa mganga atakayetoa.

So mganga alikuja na team yake tayari kwa kazi, yule Mzee(anayetolewa uchawi)nakumbuka aliwaambia umati kuwa huyu mganga aliyekuja hatoshi kutoa hayo madude yake kwani Bado ni mtoto mdogo, watu wakajua ni dhihaka.

Bwana weee! mganga aliingia ndani ya nyumba ya yule mzee na wasaidizi wake wawili, umati wa watu tukiwa nje tunasubiri anayojiri.

Baada ya kama dakika Tano mlango ulijifunga mganga na wasaidizi wake wakiwa ndani, mara tukaaza kusikia vilio vya kuomba msaada, ikabidi tulio kuwa nje tuanze kubomoa mlango, jamaa watoke kweli zoezi la kubomoa mlango lilifanikiwa ila yule mganga na wasaidizi wake waliugua ukichaa, wakawa vichaa kabisa kabisa, wakati hayo yote yanatokea Mzee alikuwa akicheka vibaya mno mbavu Hana😂

Nakumbuka waliletwa waganga wengine kutoka mikoa ya mbali lakini still walishindwa so, solutions yule Mzee alikuja kuuliwa na tena Kwa timing mno maana hata zoezi la kuuliwa nalo lilikuwa limeshindikana.
Hivo vitu vipo kweli mkuu aiseee 😂😂😂😂😂😂


Sema ambaye hajawahi kutana navyo hawezi kuelewa mpaka atakapokuja kuvishuhudia yeye mwenyew
 
Back
Top Bottom