Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
Mwambieni jamaa yenu aache matusi ya rejareja tena ya kudhalilisha wanawake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaona tusi hapoMbona hayapo? Ni wew na fikra zako mbaya
Nchi ikiwa na wapumbavu wengi,kila mtu anatafuta jinsi ya kutafuta umaarufu!!na huyu naye kupitia huo upuuzi eti naye ni maarufu,na ukiangalia kwenye comments huko watu wanamsifia!!!
Jamani jamani jamani. Ndiyo maisha tuliyoamua kuyaishi sisi watanzania. Nakuapia mpumbavu kama huyu anakuwa na followers wengi kweli kweli na anaguwa gumzo la mtaani. Only in Tanzania. Tumepotea mwelekeo kwa kukubali wajinga ndiyo wawe viongozi wetu hivyo ili mtu uwe maarufu ni lazima uige viongozi wako walivyo.Huyo jamaa ni mpumbavu , sjui Kwa nn kila mtu anayesogea pale anakuwa mtu wa kuhamasisha masuala ya ngono ,
Twende tukamwage Dumuzi mle Ofisini Kama hutojali.anakunja 6m/m wasafi media
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Twende tukamwage Dumuzi mle Ofisini Kama hutojali.
nashukuru niliwahi ku download pia😀😀😀🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
niko busy na ile video ya yule avatar wa kike kwa uzi uliofutwa chap