vukani
JF-Expert Member
- Dec 30, 2009
- 244
- 166
Mama mmoja alikuwa akifanya usafi nyumbani kwake, kwa bahati akakuta kibox kidogo chini ya mvungu wa kitanda, alipokifungua alikuta kuna mayai matano na shilngi milioni mbili.
Mumewe aliporudi alimuuliza kuhusu kile kisanduku na mayai ni ya nini?
Yule bwana akamjibu mkewe kwamba, alijiwekea utaratibu kuwa kila akitoka nje ya ndoa ananunua yai moja na kulihifadhi mle katika kisanduku.
Mkewe akiwa na furaha akamwambia duh! yaani tangu tuoane miaka mitano iliyopita umetoka nje ya ndoa mara tano tu! kumbe wale walikuwa wananiambia kuwa wewe ni malaya sana hawakuwa sahihi ki hivyo.
Mke akauliza, haya na hizi shilingi milioni mbili ni za nini?
Mume akamjibu kuwa, huwa anyauza yale mayai pindi yakiwa mengi na fedha huweka humo!
Duh! mke akataharuki, na kuanguka chini na kuzimia.........
Cheka kidogo..........................
Mumewe aliporudi alimuuliza kuhusu kile kisanduku na mayai ni ya nini?
Yule bwana akamjibu mkewe kwamba, alijiwekea utaratibu kuwa kila akitoka nje ya ndoa ananunua yai moja na kulihifadhi mle katika kisanduku.
Mkewe akiwa na furaha akamwambia duh! yaani tangu tuoane miaka mitano iliyopita umetoka nje ya ndoa mara tano tu! kumbe wale walikuwa wananiambia kuwa wewe ni malaya sana hawakuwa sahihi ki hivyo.
Mke akauliza, haya na hizi shilingi milioni mbili ni za nini?
Mume akamjibu kuwa, huwa anyauza yale mayai pindi yakiwa mengi na fedha huweka humo!
Duh! mke akataharuki, na kuanguka chini na kuzimia.........
Cheka kidogo..........................