yaani nitaosha vyombo vyote sufuria n mwishoni hata kama iko moja sijui kwa nnKwani sufuria siyo sehemu ya viombo
Hapa ni zaidi ya 90% ya wa-TZ ndivyo tulivyo.Kujenga kabla ya kununua gari
Bongo wako tafauti bora mtu awe na gari ila hana kiwanja ...mfano ruge mutahabaKujenga kabla ya kununua gari
Hii kwa wote hata wazunguKuwaza ngono 24hrs * 7 days
Ina maana marehemu Ruge alikuwa hana getto kule kwao kwenye nchi ya buhayaBongo wako tafauti bora mtu awe na gari ila hana kiwanja ...mfano ruge mutahaba
Kwa mujibu hakuwa nayo ila kama una udhahidi weka hapaIna maana marehemu Ruge alikuwa hana getto kule kwao kwenye nchi ya buhaya
Hakuna muhaya wa kujisahau kiasi hichoKwa mujibu hakuwa nayo ila kama una udhahidi weka hapa