Haya mtakaofuata kuanzia jana 'Tundu' liko wazi tu kwa ajili yenu

Haya mtakaofuata kuanzia jana 'Tundu' liko wazi tu kwa ajili yenu

Mzee kristapen unayowapiga utopolo hebu punguza dozi wanashindwa kutembea
Leo mwisho na kuanzia Kesho nitawafurahisha kwa kuja na Taarifa moja ya Ndani ya Kuihusu Simba SC yangu na nitawasema ( nitawananga ) mno Simba SC kama Kawaida yangu na najua wana Yanga SC wote hapa JamiiForums watafurahi na kuendelea Kunipenda na kuwa Marafiki zangu kama Kawaida yao.
 
Na Siku zote raha ya Tundu lililowazi ni kila mara tu kutupwe Mchele wa Mbarali ili Ndege wazuri wa Gerezani Mbeya waingie Kuula au Korosho za Namungo Lindi ziweze kupenyezwa humo ili ziive vizuri.
Sasa hivi imekuwa kama ya mbuzi iko nje nje watu ni kujipigia tu
 
Tatizo Ihefu waliikata bikra kibabe mno bila maandalizi kwa hyo bado wanamaumuvu sio rahisi anayefuata aweze kuiingiza kirahisi, 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom