beibe nasty
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 1,640
- 524
Pagumu kwelihapo sasa,.........
Nahis hivo pia dearSonga mbele usirudi nyuma mtoto anatamaa huyo ka mzee mkapa kuna kitu kasahau kwako nadhani ndogo.
.hahahahaaa beibe si unit nawe we si uliniacha mim uliona kama mtoto tu sina jipya sasa ukarud ukaona mtoto anapendeza hadi ukakiri mwenyew hun bt bby mi nina mtu mwngne siwez muumiza n im happy sasa
huna lolote yamekushinda huko sasa wataka niletea fujo tuu.
Oooh honey, usilipize baya kwa baya my.. Kosa sitorudia plz nisamehe and thc tym sitakua na penzi la "kichina" tena, ni orijino and it will last 4rever. I love you beibe nasty!
.huna lolote yamekushinda huko sasa wataka niletea fujo tuu
.hahahaahhahah si unit nilikupenda laazizi bt ndo ivo wat is gone is gone
huwa naamini masuala ya mapenzi hayana ushauri, sijui kwanini but naamini hivyo! kama unampenda unampenda tu! huwezi kupata ushauri conclusive popote, especially online!