Maserati
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 11,604
- 20,085
Mi nishamalizaaaaa,mi nilidhani utanichamba mpaka nizimiee tafuta manenoo mapyaaaa
Una uhakika mi nimetuma pm utajiroga nakuambiaaa kwanzaaa ndio nipooo hutaki anzisha blog yakoo bibie kwan uongo yaliyosemwaaaa,wambea tunajuanaa nakuambiaaa uache umbea upashkuna ,kwa kipi ulichonachooo,wa kusoma utakua wewee pesa ndio mpangooo mzimaaa utaungua jua mpaka uchunikee na hivi upo ka lupita na badoooo
Ana mapya ya kumchamba mtu had akazimia!!!!! Thubuthuuuuu yake na ajkute mara elfu kenda... simpend huyu kwa kujfanya anajua kumbe karume kenge tu