Haya ndio aliyosema Diamond kumtakia siku ya kuzaliwa Wema

Status
Not open for further replies.
Ana 26

Theme ya kwenye party hiyooo

Kumbe bado ni mdogo!
Bila shaka hatuna wiki3 Diamond Lazima atoe nyimbo mpya na hata kama sio nyimbo lazima afanye kitu!

Wema ni mtaji mkubwa sana kwa Diamond hayo ya Menina bila shaka yalipangwa hili kuvuta attentions za watu!

Hata kama Diamond atakuwa ana taka kumuacha Wema lazima anaweza shindwa maana Wema ana msaidia sana kuuza muziki wake na hata uongozi wake lazima uhakikishe Wema aondoki ili kuendelea kuteka soko la Bongo!

Katika kitu kinamfanya Diamond awazidi wasanii wengine ni jinsi ya kucheza na hisia za mashabiki wake na hasa kwenye mitandao ya kijamii na hata hapa tunacho jadili ni matokeo ya Diamond na timu yake kujipanga vizuri na kuteka mitandao ya kijamii hasa Jf!

Kwakweli katika sehemu naweza kuwasifu timu ya Diamond ni uwezo wa kuteka mitandao hapa Tanzania kwa ujumla katika hili nimewakubali!
 
Ha ha ni kweli na hivi birthday party imependeza ndo usiseme kwenye kurasa za mbele kabisa

na chibu angekuwepo leo nahisi tusingelala,hivi ile pete ya uchumba aliyovalishwaga bado anaivaa.yani of all masinemareee hili kiboko maana halieleweki litaishaje maana kila epsode ina maudhui yake.
 
yani juzi tu hapa teamwema walitangaza kutompigia kura shem darling.ila leo naona upepo umebadilika gafla.
 

Uliyo yasema ni kweli kabisa umefikiri kama mimi wana create matukio ku make headlines
 
na chibu angekuwepo leo nahisi tusingelala,hivi ile pete ya uchumba aliyovalishwaga bado anaivaa.yani of all masinemareee hili kiboko maana halieleweki litaishaje maana kila epsode ina maudhui yake.

Ha ha ni kweli bado wapo wapo kila episode na theme yake wacha movie iendelee
 
Uliyo yasema ni kweli kabisa umefikiri kama mimi wana create matukio ku make headlines

Jamaa wanajua kutumia nafasi kufanya biashara! Yani Wema nae alitakiwa kutumia hii nafasi kujinufaisha! Kwa mfano angefungua hata Duka sidhani kama kwa siku angeweza kukosa wateja ishirini(20)

Wema sepetu kwa Tanzania ni kama brand kabisa ambayo mtu anaweza fanyia biashara lakini sijui Wema mwenyewe anafikiri nini kwenye hili?Wema akiamua kutajirika kupitia Jina lake anaweza kabisa!

Diamond na timu yake wanajua kulitumia jina la Wema kufanya biashara lakini Wema hajui kutumia Jina lake kufanya Biashara!
 
How can I deny this feeling i'm feeling inside
? No one can never take your place can never take your space,
Thats a fact I cannot erase
and you are the one that makes me smile
,make me float like a boat upon the nile.

Haya maneno nimeyapenda sana....yaani yakitoka mdomoni kwa mtu unayempenda na anayekupenda ki ukweli.....mashalaaah
 

Umeongea ukweli mtupu...

Wema ana influence sana mie nimeelewa leo..mie nampenda Wema naonaga Chibu ndie happiness yake.... wacha waendelee kututeka kama majeshi ya Al shabab vile

Am happy tu leo
 
Wema anapendwa balaa,leo nimeingia insta kukuta Diamond kamuwish,ile post ina likes na comments kuliko post yoyote ya Diamond
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…