Paula kilaki
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 1,909
- 1,290
hii muvi hadi nimesahau sijui niliishiia season ngapi
Safi sana hii ndo dawa ya watu wanaowish mabaya kwa wenzao
Leo nimeamini dawa ya watu wambea na wazushi,ni kuwakalia kimya na kuwapa masuprise yaliyo positive,yaani ukikaa kimya na kuwapa masuprise,wanabaki midomo wazi kama kipa aliyefungwa goli la penalt
Mnafiki mmoja mbona ulimwanika hadharani unamdhalilisha kila siku umeona wema kajitambua unajibebenda lol
Hahahah sooon spare my coment....I hate mwanamke yeyote golikipa anaetegemea kitumbua kuishi mjinicomment yako inaonesha ni jinsi gani umekata tamaa,maskini!! una wish waachaneeee???? keep on praying mwaya Mungu wetu ni muaminifu na anajibu maombi.
adhabu ya kabuli aijuae maiti,pilipili usiyoila yakuwashia nini?kitanda usichokilalia hujui kunguni wakeHahahah sooon spare my coment....I hate mwanamke yeyote golikipa anaetegemea kitumbua kuishi mjini
Hahaaaa umenikumbusha mwaka jana jamani maua kitandani na shuka la kushona.. ..nyie jamani full drama
Hhahaha Dina una vituko sana! Naona shigongo ameshapata front page news!
Hawa watu wananifurahisha sana, maisha yao kama tamthilia!
Hhahaha Dina una vituko sana! Naona shigongo ameshapata front page news!
Duuuu mahaba mahabani. Mliokuwa mnawawangia mpaka kufungua thread aibuuuuu zenu. Msipende kuingilia mapenzi ya watu. Awe mkubwa awe malaya ndo kashapendwa na umalaya wake.
Tumekusikiaaa nawe utapata gari moja ile ya zamani etii
Tuwekeeni na kadi za gari ili mtuue kabisaa leo msitubakishee isije kua gari wamekod ili kutukomeshaa maana hata.ile nyumba ya milioni 400 hatukulala aisee eti kokuhilwa
Martin katoa wapi pesa ya kununua gariii hapo ndio mmenichoshaaa aisee
next bday hope atampa na nyumba kabisa ya kupaki hayo magari.
yani waandishi wa habari wapo wengi kuliko wagwni walikwa.kesho shigongo kashapata habari
hahahahaaa nimeipenda hii, umekubali kuwa mateka na wala huna mpango wa kuomba rescueUmeongea ukweli mtupu...
Wema ana influence sana mie nimeelewa leo..mie nampenda Wema naonaga Chibu ndie happiness yake.... wacha waendelee kututeka kama majeshi ya Al shabab vile
Am happy tu leo
yani katoa bmw wakati yeye anaendesha vitz.haka ka epsode ka aliyetoa hiyo bmw katakuwa katamu embu tumsuvbirie warumi labda atakuwa na jibu.