Haya Ndio Maelezo Aliyotoa Mange Kimambi Kuhusu Tatizo La Msanii Kabula!

Haya Ndio Maelezo Aliyotoa Mange Kimambi Kuhusu Tatizo La Msanii Kabula!

Mnachoshangaa nini hawa wanajuana.Huwezi jua inawezekana Mange yupo right,msimjaji mtu kwa kile anachokiamini.Kuhusu kumtusi hawa watoto wa mjini tuwaache,naamini huyu alochizika atajibu mapigo tu akili ikimkaa sawa..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bila kupepesa maelezo mwana mama Mange Kimambi amefunguka haya kuhusu tatizo la kiafya la msanii "Kabula"
e4dc1a23ec8a866fef39a20b022e6e91.jpg
539e2bb5c9e1dcfd3cb8a16de160a22e.jpg
1f3307ad8ef3e832831a98017387acf1.jpg


-Ndumilakuwili-
Duuuh! Hii nayo kali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weka updates mkuu,Mange amethibitisha baada ya kupata ushahidi wa picha Kabula akiwa hospitali wodi ya vichaa Muhimbili, amekiri ni kweli bi dada kachizika baada ya kuambiwa anagonjwa "kuu" , kwahiyo akili zinakuja na kutoka
 
Back
Top Bottom