Nimechekaaa sanaDah! Mange ni "chizi fresh"! Hapendi kuingiliwa kwenye fani yake ya uchizi na waigizaji. Mange goes nut!!!
Ngoja niende mwenyewe kwa Kubwa la Maadui Mange( we Mpaka Serikali inamtafuta mchezo) Ngoja niende kwa Boss MangeMAnge mwenyewe kiranja wa machizi kabisa.
Hahahahaaa! That's a our big girl, Mange! She goes mad!
Umeona eeh? More like "catch me if you can! I am crazier than you"Ma chizi wanajuana
Duuuh! Hii nayo kaliBila kupepesa maelezo mwana mama Mange Kimambi amefunguka haya kuhusu tatizo la kiafya la msanii "Kabula"
-Ndumilakuwili-