Haya ndio magari chaguo langu


Wakati mwingine issue sio hela tu mkuu...... VIPAUMBELE na availability ya uendeshaji wa kila siku

Watu wanadhani as long as una hela ya kununua kitu basi unanunua tu bila kuangalia other factors....,, hii ndio kasumba yetu watu masikini

Mojawapo wa issue inayo wasumbua sana Mwendokasi ni spear na service, ni tofauti kabisa na mabasi yale yangekua scania au aina nyingine ambazo wauza spear na service wapo wengi

Jeshi la polisi wamenunua magari aina nyingi sana lakini hadi leo magari ya muda mrefu utakayo yakuta mitaani yanafanya kazi ni Toyota mkonga, Landrover 110 na Toyota Landcruser za bosi..... magari aina zingine yote kwisha habari yao sababu ya spear na service

CCM waliagiza magari sijui Mandraham hayakumaliza miaka miwili yote yako juu ya mawe
Sasa hivi wana Toyota zinadunda spear kama zote

Kuwa na hela haimaanishi ununie kitu chochote “kizuri” bila kuangalia factors zingine

Sasa ununue Benzi unaishi Kigoma halafu service unaenda kufanyia DT Dobie Dar kisa tu una hela

Uzuri wa kwenye social media kila mtu ni tajiri anashauri watu wajitafute kama unavyo tushauri kama tunashindwa kununua Vorgue kisa spear na service basi TUJITAFUTE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…