Haya Ndio magoli 10 Bora Katika UEFA Msimu Huu Uliomalizika Wa 2016/2017 Kwa Mujibu Wa UEFA.

Haya Ndio magoli 10 Bora Katika UEFA Msimu Huu Uliomalizika Wa 2016/2017 Kwa Mujibu Wa UEFA.

daaah kweli.mkuu una mahaba na penado

Sasa mahaba gani tena Mkuu wakati Ronaldo ameshinda kweli hiyo tuzo...tena kampoteza king wenu sio kitoto, Cr7 amepata 36% huku Leo10 akiambulia 17% tu ya kura zote, Ona hapo.

Screenshot_2017-06-11-02-23-42.png
 
MESSI hana mpinzani. Ronaldo hata achukue ballon d'or 50 ila KING atabakia kuwa KING kuwahi kutokea.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
na ballon dor halali zilikuwa kipindi cha Sep Blatter ila hizi za sasa ni za kimahaba zaidi

Hahaha!...yani akichukua MESSI NI HALALI ILA AKICHUKUA RONALDO SIO HALALI NI BATILI...Duh! Hii Kali Sasa Mkuu, Kwani Hizo enzi za Seph Blatter RONALDO Hakuchukua Sio?...Na kama alichukua za blatter sasa iwaje Atakazochukuwa kipindi hiki zisiwe halali??...Au hayo yanakuja baada ya kuona King wenu anaenda kupoteza hiyo tuzo Mara ya pili Mfululizo...Mnasahau kuwa hiyo Ballon D'or hawajigei wenyewe hao wachezaji Bali ni kwa kura stahiki katika ngazi tofauti wakiwemo MAKOCHA WA TIMU MBALIMBALI NA JOURNALISTS KUTOKA NCHI MBALIMBALI DUNIANI NA WACHEZAJI WENGINE WA SOCCER HUWAPIGIA KURA WENZAO PIA WAKIWEMO CAPTAINS...SASA IWEJE HIYO TUZO ISIWE HALALI TENA???...Siku zote asiyekubali kushindwa sio mshindani na ni ujinga kukandia kitu anachopata mwenzio kisa tu wewe hutoweza kukipata katika muda husika.
 
Msimu mzima CR7 kang'ara mechi 5 tu. Zinamfaya awe bora zaidi duniani? Ni mapenzi tu..... Kama ulikua unafuatilia msimu 2016/17 utagundua kuwa Madrid walikua na timu nzuri sana na sanaa zaidi ya Barca . Nadiriki kusema Messi kapiga kazi msimu wote tatizo ni organization ya timu yao ni mbaya. Cr7 kaanza kuonekana robo fainal ya uefa tu kamaliza kuthibitisha yeye n bora something wrong. Tukisema umuhimu wamechi basi tujue hakunaa mechi ya mashindano isiyo ya muhimu.
Najua Cr7 atachukua tuzo kwa kuwa hii tuzo imekaa kishabiki na si uhalisia . ...... Cr7 akiwa na vikombe vingi utasikia tuzo zake na Messi pia ivoivo.
Baloon D'or haina mvuto tena imekaa kimapenzimapenzi tu
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Msimu mzima CR7 kang'ara mechi 5 tu. Zinamfaya awe bora zaidi duniani? Ni mapenzi tu..... Kama ulikua unafuatilia msimu 2016/17 utagundua kuwa Madrid walikua na timu nzuri sana na sanaa zaidi ya Barca . Nadiriki kusema Messi kapiga kazi msimu wote tatizo ni organization ya timu yao ni mbaya. Cr7 kaanza kuonekana robo fainal ya uefa tu kamaliza kuthibitisha yeye n bora something wrong. Tukisema umuhimu wamechi basi tujue hakunaa mechi ya mashindano isiyo ya muhimu.
Najua Cr7 atachukua tuzo kwa kuwa hii tuzo imekaa kishabiki na si uhalisia . ...... Cr7 akiwa na vikombe vingi utasikia tuzo zake na Messi pia ivoivo.
Baloon D'or haina mvuto tena imekaa kimapenzimapenzi tu
Nafkiri bado hujajua maana ya mchezaji bora na mfungaji bora,
 
Msimu mzima CR7 kang'ara mechi 5 tu. Zinamfaya awe bora zaidi duniani? Ni mapenzi tu..... Kama ulikua unafuatilia msimu 2016/17 utagundua kuwa Madrid walikua na timu nzuri sana na sanaa zaidi ya Barca . Nadiriki kusema Messi kapiga kazi msimu wote tatizo ni organization ya timu yao ni mbaya. Cr7 kaanza kuonekana robo fainal ya uefa tu kamaliza kuthibitisha yeye n bora something wrong. Tukisema umuhimu wamechi basi tujue hakunaa mechi ya mashindano isiyo ya muhimu.
Najua Cr7 atachukua tuzo kwa kuwa hii tuzo imekaa kishabiki na si uhalisia . ...... Cr7 akiwa na vikombe vingi utasikia tuzo zake na Messi pia ivoivo.
Baloon D'or haina mvuto tena imekaa kimapenzimapenzi tu
Toa maono yako msimu huu wa 2016-2017 nani anastahili hiyo tuzo
 
Huyu [HASHTAG]#Pionear[/HASHTAG] sjui ni shosti unaposti picha nzuri lakini kaption za [HASHTAG]#Kijinga[/HASHTAG] Huwezi sema eti [HASHTAG]#MESSI[/HASHTAG] msimu Huu kafifia au ulikuwa unatazama mechi na [HASHTAG]#Makalio[/HASHTAG]? Huoni alichofanya [HASHTAG]#Bernabeu[/HASHTAG]? tukija [HASHTAG]#Messi[/HASHTAG] na [HASHTAG]#cr7[/HASHTAG] nani kaonesha kiwango Bora Msimu Huu apart from Mataji?

Nasubiria Jibu Lako la Kijinga.... Maana Post Heading Nzuri ila Content ya [HASHTAG]#Mihemko[/HASHTAG] ya Ki [HASHTAG]#Moroco[/HASHTAG]
 
Back
Top Bottom