Haya ndio maisha halisi anayoishi mzee Majuto

Yupo location mzee amejipanga Ana company ya kushoot movie magar ya kutembelea Na nyumba nzuri anazo
 
imelda finyango finyango kumbe zimo ...[emoji39] majuto safi sana maisha ya kawaida yanatosha kwa alhaji kama yy
 
Hayati Muhdin Gurumo wa Msondo Aliimba Miaka 64 lakin kaja kumiliki ki Fancargo MWaka wake wa Mwisho hapa Duniani tena kwa kununuliwa na Diamond aliezaliwa 1988,

Maisha halisi ya Bongo ni tamthilia tosha ya kuvutia
.mmmmmh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…