Darasa hakikisha nyimbo yako ya Muziki inakuingiza nyumbani kwako!!yaani mpaka ufumue mjengo wa maana ndio uwaonee huruma wana hiphop wenzio,kaza mwanangu kitaeleweka tu..
Wakamue hao mapromota bei kubwa kwenye show,wapige hata million nane tisa!!usiwaonee huruma,kwa ulipofikia sasa hivi unajaza ukumbi wowote ule bongo hii..
Halafu Hanscana usimchekee sana japokuwa ni meneja wako,mtoto wa Arusha yule kwenye hela haaminiki...Hakikisha unakuwa na final say wewe kama wewe!!komaa na management mpaka kieleweke,usicheke nao kabisa..hii ndio time yako ya kuuaga umaskini bro..