Hakuna kitu hapoLissu ni kijana wa mjini na amefanya siasa nyingi za hoja na za hovyo akiwa Bungeni na sasa majukwaani.
Kwa mtazamo wangu haya ndio majina ya wanachama 3 wa CCM wanaoweza kupambana na Lissu jino kwa jino bandika bandua.
Anahitaji kujibiwa vile anavyokuja akija kihuni anajibiwa kihuni akija kisomi anajibiwa kisomi.
1. Prof Palamagamba Kabudi
2. Hamprey Polepole
3. David Kafulila
Lisu ni 3 dimensional figure anapojitokeza kuongelea jambo hadharani hakurupuki, nzuri zaidi huwa hana mhemkoLissu ni kijana wa mjini na amefanya siasa nyingi za hoja na za hovyo akiwa Bungeni na sasa majukwaani.
Kwa mtazamo wangu haya ndio majina ya wanachama 3 wa CCM wanaoweza kupambana na Lissu jino kwa jino bandika bandua.
Anahitaji kujibiwa vile anavyokuja akija kihuni anajibiwa kihuni akija kisomi anajibiwa kisomi.
1. Prof Palamagamba Kabudi
2. Hamprey Polepole
3. David Kafulila
hakuna kitu hapo yaani kwa Lissu ccm watakuja zamu kwa zamu,wengine wakienda kunywa maji waingie wengine Lissu ataendelea tu kuwa uwanjani kutafta pointi 3 za lazimaLissu ni kijana wa mjini na amefanya siasa nyingi za hoja na za hovyo akiwa Bungeni na sasa majukwaani.
Kwa mtazamo wangu haya ndio majina ya wanachama 3 wa CCM wanaoweza kupambana na Lissu jino kwa jino bandika bandua.
Anahitaji kujibiwa vile anavyokuja akija kihuni anajibiwa kihuni akija kisomi anajibiwa kisomi.
1. Prof Palamagamba Kabudi
2. Hamprey Polepole
3. David Kafulila
palamagamba lazima ashindwe uzuri kila kitu kipo kwenye documents na historia inaonyesha kuna vitu vilipindishwa makusudi tokea mwanzo kwa masilahi flaniflani kwenye huu muungano wetu,hivyo Lissu ataibuka tu kinara mbele ya watanzania ukijumlisha facts na Logical resoaningL
Hakuna hapo. Labda kwa mbali Prof Kabudi kwa sababu na yeye anaijua vizuri historia kama Tundu Lissu
Hao wengine vilaza tu
Mkuu hiki ni kindengereko au kiswazi?MABO YANABABIRIKA MDUU UNAWEDA KUDA WADA WADU WAO DAYARI
Wewe ni Great thinker nakupa heshima yako.Wote uliowataja hakuna mwana-CCM hapo.
Kafilulia ni mwana CHADEMA yule sio CCM .Kwa Kafulila vipi mbona hujatoa comment orodha ni wanasiasa watatu
Kafulila amekuja jipigia debe humu. Hapo mwenye uwezo ni Prof Kabudi.Kafulila sijui kwanini CCM haimtumii huyu jamaa nakumbuka wakati wa JPM alininyooshea balaa huyu mwehu
Past is past..Kabudi na Polepole wataikana vipi kazi yao ktk Tume ya Warioba bila kujivunjia heshima?
Alimchana wapi?. Yani Leo CCM inamtegemea Kafulila mtoto wa CHADEMA?. Kweli Dunia duala.2020 kunahija siikumbuki ila Kafulila alimchanachana sana Lissu kama mgombea Urais wa CHADEMA
Kwani hao ni wanaccm?. Fuatilia origin yao. Wote hao waumini wa serikali tatu. Yani wanamuunga mkono LissuUnamaanisha Lissu asijibiwe na Wana CCM?
Lisu hatoagi Hoja sababu chama chake hakina Ilani Kwa hiyo ni mumbeya Fulani hivi ambaye kiongozi mfano wa CCM ajijamba hadharani Lisu atabeba Hilo ataanza hotuba yake ohh juzi juzi hapa mmumeskia kiongozi wa CCM aliyejamba hili Chadema hatukinyamazia tutalisema mikitano yote.Sasa hapo mtu mwenye asili timamu utamjibu Nini mara ohh Kuna pesa zinatoka Kwa Abdul na mama yake hajataja huyo Abdul ni mtoto wa nani na mama yake nani? Anapotezea watu muda tu Kwa legal rubbish majukwaani Kwa vituko vya kipuuuzi akijua Wala hakuna wa kumshtaki Kwa hiyo legal rubbish kaongea kama hiyo ya kuongelea Abdul na mama yake keani hata umpeleke mahakamani mahaka itasema umemleta huyo mwehu kufanya Nini hapa mahakamani huyo Abdul anaongelea aweza kuwa kichaa mwokota makopo barabarani na huyo mama yake Abdul ambaye hajamtaja aweza kuwa mgonjwa mwenzie wa akili wanayetibiwa naye wote ubelgijiKakafulila kajanjajanja katammaliza kabisa huyu Lissu kwa hoja
Kwa hivyo Leo kinana alikuwa anajikanyaga kwa sababu gani?.Lisu hatoagi Hoja sababu chama chake hakina Ilani Kwa hiyo ni mumbeya Fulani hivi ambaye kiongozi mfano wa CCM ajijamba hadharani Lisu atabeba Hilo ataanza hotuba yake ohh juzi juzi hapa mmumeskia kiongozi wa CCM aliyejamba hili Chadema hatukinyamazia tutalisema mikitano yote.Sasa hapo mtu mwenye asili timamu utamjibu Nini mara ohh Kuna pesa zinatoka Kwa Abdul na mama yake hajataja huyo Abdul ni mtoto wa nani na mama yake nani? Anapotezea watu muda tu Kwa legal rubbish majukwaani Kwa vituko vya kipuuuzi akijua Wala hakuna wa kumshtaki Kwa hiyo legal rubbish kaongea kama hiyo ya kuongelea Abdul na mama yake keani hata umpeleke mahakamani mahaka itasema umemleta huyo mwehu kufanya Nini hapa mahakamani huyo Abdul anaongelea aweza kuwa kichaa mwokota makopo barabarani na huyo mama yake Abdul ambaye hajamtaja aweza kuwa mgonjwa mwenzie wa akili wanayetibiwa naye wote ubelgiji
Kiukweli Lisu hana Hoja za kisiasa za maana majukwaani ni mhuni tu
Lissu ni kijana wa mjini na amefanya siasa nyingi za hoja na za hovyo akiwa Bungeni na sasa majukwaani.
Kwa mtazamo wangu haya ndio majina ya wanachama 3 wa CCM wanaoweza kupambana na Lissu jino kwa jino bandika bandua.
Anahitaji kujibiwa vile anavyokuja akija kihuni anajibiwa kihuni akija kisomi anajibiwa kisomi.
1. Prof Palamagamba Kabudi
2. Hamprey Polepole
3. David Kafulila
A G jaji Werema, ilikua wakati wa kashfa ya EscrowMpaka leo sijui ni kiongozi gani aliyempachika a.k.a ya tumbili.
Nimecheka sanaLissu ni kijana wa mjini na amefanya siasa nyingi za hoja na za hovyo akiwa Bungeni na sasa majukwaani.
Kwa mtazamo wangu haya ndio majina ya wanachama 3 wa CCM wanaoweza kupambana na Lissu jino kwa jino bandika bandua.
Anahitaji kujibiwa vile anavyokuja akija kihuni anajibiwa kihuni akija kisomi anajibiwa kisomi.
1. Prof Palamagamba Kabudi
2. Hamprey Polepole
3. David Kafulila
Huyu Kabudi si ndo alimuita jpm mungu?!1. Prof Palamagamba Kabudi
Huyo huyo Polepole aliyesimamia ufisadi mkubwa wa biashara ya kununua binadamu (wapinzani) kwa pesa nyingi za walipakodi awamu ile?!2. Hamprey Polepole