Lisu hatoagi Hoja sababu chama chake hakina Ilani Kwa hiyo ni mumbeya Fulani hivi ambaye kiongozi mfano wa CCM ajijamba hadharani Lisu atabeba Hilo ataanza hotuba yake ohh juzi juzi hapa mmumeskia kiongozi wa CCM aliyejamba hili Chadema hatukinyamazia tutalisema mikitano yote.Sasa hapo mtu mwenye asili timamu utamjibu Nini mara ohh Kuna pesa zinatoka Kwa Abdul na mama yake hajataja huyo Abdul ni mtoto wa nani na mama yake nani? Anapotezea watu muda tu Kwa legal rubbish majukwaani Kwa vituko vya kipuuuzi akijua Wala hakuna wa kumshtaki Kwa hiyo legal rubbish kaongea kama hiyo ya kuongelea Abdul na mama yake keani hata umpeleke mahakamani mahaka itasema umemleta huyo mwehu kufanya Nini hapa mahakamani huyo Abdul anaongelea aweza kuwa kichaa mwokota makopo barabarani na huyo mama yake Abdul ambaye hajamtaja aweza kuwa mgonjwa mwenzie wa akili wanayetibiwa naye wote ubelgiji
Kiukweli Lisu hana Hoja za kisiasa za maana majukwaani ni mhuni tu