Da wee udabadilika guligana damadigiraMABO YANABABIRIKA MDUU UNAWEDA KUDA WADA WADU WAO DAYARI
HahahaHuyo Kabudi na Kafulila sawa Polepole ataanza kuchora chora ubao tu
Yuko sawa Kakafulila halafu inafuata kajanjqkajanja hiyo ni lugha ya ziwani.Sio Kakafulila Sema Kafulila utaeleweka tu
Sio CCM ni Chama gani?Polepole , Bashiru, Kafulila na Kabudi wale sio CCM , Bali walivutwa na Magufuli.
Kutoa majibu ya Muungano sahihi ni ngumu wanachoweza tu ni kutumia mabunduki na MajelaHakuna mwana CCM anayeweza kuleta majibu yanayoelewa na kukubaliwa na wengi kuwa ni majibu kwenye issue ya Muungano.
Nielewe nikisema hakuna. Issue ya Muungano hata tumkodi Malaika kutujibia hawezi akaeleweka.
Wewe tu ukiulizwa kwa nini Mzanzibar anakuwa Mkuu wa Wilaya Tanganyika na mtanganyika hawezi kuwa mkuu wa Wilaya Zanzibar unaweza kujibu?
Hapo halijawekwa suala la umiliki wa ardhi!
Lissu ni kijana wa mjini na amefanya siasa nyingi za hoja na za hovyo akiwa Bungeni na sasa majukwaani.
Kwa mtazamo wangu haya ndio majina ya wanachama 3 wa CCM wanaoweza kupambana na Lissu jino kwa jino bandika bandua.
Anahitaji kujibiwa vile anavyokuja akija kihuni anajibiwa kihuni akija kisomi anajibiwa kisomi.
1. Prof Palamagamba Kabudi
2. Hamprey Polepole
3. David Kafulilal
Daah unadhani jamaa atakuwa anafanya nini huyu?MABO YANABABIRIKA MDUU UNAWEDA KUDA WADA WADU WAO DAYARI
Mali za Tanganyika hazipo kwa sababu Tanganyika haipo.Kuna haja kwa kipindi hiki kuangalia katiba zetu upya
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hairuhusu Rais aliyopo madarakani au kustaafu kushtakiwa kwa kosa lolote lile
Je siku akitokea Mzanzibar akawa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kwa makusudi ya kulindwa kisheria na kikatiba akawa anatapanya rasilimali za Tanganyika kwa maslahi yake au kwa maslahi ya kikundi fulani kilichopo Zanzibar jiulize nani wa kutetea au kuzilinda mali za Tanganyika?
Zanzibar wana serikali yao inayolinda mali na rasilimali za Zanzibar je Mali za Tanganyika zinalindwa na nani?
Umeidharau Sana Tanganyika, nchi ukaipe hadhi ya wizara. Nimelia Sana.Hoja za Mh.Lissu zinaweza kujibiwa na yeyote wala hazina uzito wowote.
Kwa mfano.
1.Muungano hoja kiu ni uwepo wa Tanganyika....kwa ufupi kabisa Tanganyika ndio Tamisemi na Mkuu wake ni Mh.Waziri Mkuu.
2.Katiba Mpya...Wananchi wengi hawaifahamu vema katiba iliyopo ili Mpya ije ni lazima wananchi wapate Elimu ya katiba na waachiwe kufanya uamuzi kupitia kula ya maoni.
3.Tume huru ya Uchaguzi.
Uhuru wa tume upo sema tu wenye kusimamia chaguzi ndipo changamoto uanza na kupekelekea chaguzi kugubikwa na sintofahamu nyingi.
4.Je ni sahihi Kiongozi mkazi wa eneo lingine ndani ya JMT kufanya maamuzi/maendeleo sehemu nyingine....Jibu ni ndio,sababu wapo Viongozi wengi walioteuliwa kwa nafasi mbalimbali tunawaona kila siku wakizunguka Nchi nzima kutekeleza na kutatua kero za Wananchi.
Ndio maana hata yeye Mr.Lissu anazunguka maeneo ambayo sio ya kwao kuhimiza mabadiliko.
Majobu rahisi hasara za wajukuu wakoHoja za Mh.Lissu zinaweza kujibiwa na yeyote wala hazina uzito wowote.
Kwa mfano.
1.Muungano hoja kiu ni uwepo wa Tanganyika....kwa ufupi kabisa Tanganyika ndio Tamisemi na Mkuu wake ni Mh.Waziri Mkuu.
2.Katiba Mpya...Wananchi wengi hawaifahamu vema katiba iliyopo ili Mpya ije ni lazima wananchi wapate Elimu ya katiba na waachiwe kufanya uamuzi kupitia kula ya maoni.
3.Tume huru ya Uchaguzi.
Uhuru wa tume upo sema tu wenye kusimamia chaguzi ndipo changamoto uanza na kupekelekea chaguzi kugubikwa na sintofahamu nyingi.
4.Je ni sahihi Kiongozi mkazi wa eneo lingine ndani ya JMT kufanya maamuzi/maendeleo sehemu nyingine....Jibu ni ndio,sababu wapo Viongozi wengi walioteuliwa kwa nafasi mbalimbali tunawaona kila siku wakizunguka Nchi nzima kutekeleza na kutatua kero za Wananchi.
Ndio maana hata yeye Mr.Lissu anazunguka maeneo ambayo sio ya kwao kuhimiza mabadiliko.
Naunga mkono kwa prof. Kabudi. Kafulila anao uwezo lkn maCCM wanamuona siyo mwenzao ni (ng'ombe aliyekatika mkia). Kwahiyo atashindwa kuwa huru.
Tatizo ccm wengi huwa wanatengua misimamo yao ya awali iliyowapa umaarufu...Kabudi alikuwa kwenye tume ya Warioba na aliunga mkono serikali 3.
..akimkabili Lissu atakumbushwa alichokuwa akikisema 2014 alipokuwa kwenye tume ya Warioba.