Pre GE2025 Haya ndio majina matatu ya wanachama wa CCM wanaoweza kupambana na Lissu jino kwa jino bandika bandua akimwaga mboga anamwaga ugali

Pre GE2025 Haya ndio majina matatu ya wanachama wa CCM wanaoweza kupambana na Lissu jino kwa jino bandika bandua akimwaga mboga anamwaga ugali

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Lissu ni kijana wa mjini na amefanya siasa nyingi za hoja na za hovyo akiwa Bungeni na sasa majukwaani.

Kwa mtazamo wangu haya ndio majina ya wanachama 3 wa CCM wanaoweza kupambana na Lissu jino kwa jino bandika bandua.

Anahitaji kujibiwa vile anavyokuja akija kihuni anajibiwa kihuni akija kisomi anajibiwa kisomi.

1. Prof Palamagamba Kabudi

2. Hamprey Polepole

3. David Kafulila
Rubbish, Yani mtu aliyetamka hadharani kuwa aliokotwa kwenye jalala akapambanishwe na mtu aliyeshinda risasi 16?
 
Kwa hivyo Leo kinana alikuwa anajikanyaga kwa sababu gani?.
Anaongelea siasa za kistaarabu

Kwa Chadema wamebaki wanasiasa wawili tu wasio na siasa za kistaarabu wa kwanza kinara ni Tundu Lissu wa pili Godbless Lema.Hao wamebaki na siasa za kizamamani za confrontation na ubabe wa kutishia nyau watu wazima

Kinana alichoongea ni kuwa kuwa na siasa za kistaarabu zenye hoja .Matusi si sehemu ya sera ya chama chochote Cha siasa

Angalia umati Aliokuwa anajaza Dr Slaa au Lowassa wakiwa Chadema

Kisha angalia huyo mpiga miyowe asiyejua siasa za Kistaarabu Tundu Lissu .Mikutano yake watu wachache yeye anakuwa na maneno mengi yasiyo ya kistaarabu kuliko idadi ya watu waliohudhuria

Mtaalamu mmoja aliwahi Sema idadi ya maneno ya hotuba Yako maximum yanahitaji yalingane na idadi ya waliohudhuria .Lissu hotuba yake Ina maneno mengi machafu kuliko idadi ya waliohudhuria mkutano wake
 
Lissu ni kijana wa mjini na amefanya siasa nyingi za hoja na za hovyo akiwa Bungeni na sasa majukwaani.

Kwa mtazamo wangu haya ndio majina ya wanachama 3 wa CCM wanaoweza kupambana na Lissu jino kwa jino bandika bandua.

Anahitaji kujibiwa vile anavyokuja akija kihuni anajibiwa kihuni akija kisomi anajibiwa kisomi.

1. Prof Palamagamba Kabudi

2. Hamprey Polepole

3. David Kafulila
Ndugu Bezecky tangu lini uongo ukaweza kushindana na kweli.?

Inawezekana vipi GIZA likashindana na NURU.?

Hata umshushe malaika toka mbinguni, hataweza kuutetea uongo na ulaghai maana mwisho wa siku naye atageuka kuwa uchafu tu.!!

Maana yangu ni hii: Kina Tundu Lissu na sisi wengine tumesimama ktk kweli, katika nuru/mwanga wa kweli.

Hata Mungu Mwenyewe, hataweza kusimama kuutetea uongo na ulaghai wa waasisi wa Taifa hili na CCM/TANU yake sembuse hawa binadamu unaowataja!!??

Hawa wakiingia kwenye mdahalo (debate) na kushindwa kwa hoja za kutetea uongo wao, mwisho wa siku conclusion yao itakuwa Tundu Lissu ni mchochezi, leteni bunduki apigwe risasi tu🤔🤔🤔🤔!
 
Lissu ni kijana wa mjini na amefanya siasa nyingi za hoja na za hovyo akiwa Bungeni na sasa majukwaani.

Kwa mtazamo wangu haya ndio majina ya wanachama 3 wa CCM wanaoweza kupambana na Lissu jino kwa jino bandika bandua.

Anahitaji kujibiwa vile anavyokuja akija kihuni anajibiwa kihuni akija kisomi anajibiwa kisomi.

1. Prof Palamagamba Kabudi

2. Hamprey Polepole

3. David Kafulila
Huyo kafulila toa kabisa
 
Lissu ni kijana wa mjini na amefanya siasa nyingi za hoja na za hovyo akiwa Bungeni na sasa majukwaani.

Kwa mtazamo wangu haya ndio majina ya wanachama 3 wa CCM wanaoweza kupambana na Lissu jino kwa jino bandika bandua.

Anahitaji kujibiwa vile anavyokuja akija kihuni anajibiwa kihuni akija kisomi anajibiwa kisomi.

1. Prof Palamagamba Kabudi

2. Hamprey Polepole

3. David Kafulila
Tundu Lissu anaongea kisomi zaidi,mzee polepile na kafulila hawana akili za kumzidi hoja labda kabudi japo naye amesusa kushiriki siasa
 
kabudi ni mwalimu wa lisu darasani 😀 , hata mimi siwezi shindana na ticha aliyenifundisha hata iweje
 
..Lissu mwalimu wake ni Prof.Issa Shivji.
Prof. Kabudi ni mwalimu wake pia. Tusisahau Prof. Kabudi alikuwa kwenye Tume ya Warioba vile vile Pole Pole. Wote ni waumini wa serikali tatu. Kama una mashaka google
 
Prof. Kabudi ni mwalimu wake pia. Tusisahau Prof. Kabudi alikuwa kwenye Tume ya Warioba vile vile Pole Pole. Wote ni waumini wa serikali tatu. Kama una mashaka google

..wakati Lissu anasoma Udsm Prof.Kabudi alikuwa masomoni Ujerumani.

..Nakubaliana na wewe kuwa Kabudi na Polepole walikuwa kwenye tume ya Warioba iliyopendekeza serikali 3.
 
Kafulia alikuaanapewa madini na Msigwa.

Kabudi hana analojua zaidi ya kutoa macho.

Pole pole mpaka apewe ubao ndio ataanza kujibu.
 
Mali za Tanganyika hazipo kwa sababu Tanganyika haipo.
Vyama vya siasa ili viwe na nguvu ni lazima virudishe kwanza Mali za Wananchi zilizopatikana enzi ya mfumo wa Chama kimoja.
Unaota Sheria yeyote huanzia pale inapipitishwa Mfano huwezi Sema mfumo wa vyama vingi ilitakiwa uanze Toka uhuru wa nchi hivyo vyama vya siasa vikivypo Sasa vilipwe ruzuku Toka mwaka 1961

Sheria Huwa hairudi nyuma.Huko nyuma Sheria ilitambua Mali hizo kama za hicho chama kimoja

Unaongea ujinga yaliyopita yamepita na yalikuwa kisheria Kwa Wakati huo kukiwa na mpya hairudi nyuma
 
L

Hakuna hapo. Labda kwa mbali Prof Kabudi kwa sababu na yeye anaijua vizuri historia kama Tundu Lissu

Hao wengine vilaza tu
Kwa hao aliowataja ni Kabudi peke yake ndiye anayeweza kujenga hoja za kipropaganda.

Mwingine ni Bashiru. Ila sidhani kama ataaminiwa tena kwenye hiyo nafasi.
 
Back
Top Bottom