Haya ndio Majukumu ya January ya Mtanzania ambaye pia anajulikana kama Mnyonge

Haya ndio Majukumu ya January ya Mtanzania ambaye pia anajulikana kama Mnyonge

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hebu fanya tathmini yako uone kama atatoboa .
Huyu anaishi kwenye Nchi ambayo DED tu anatumia V8 , huku Mawaziri magari yao yakiwa ya bei mbaya hadi kuzidi Tsh mil 600

Screenshot_2023-12-30-13-08-33-1.png
 
Hebu fanya tathmini yako uone kama atatoboa .
Huyu anaishi kwenye Nchi ambayo DED tu anatumia V8 , huku Mawaziri magari yao yakiwa ya bei mbaya hadi kuzidi Tsh mil 600

View attachment 2859176
Wee Jamaa toka ukose ubunge Arusha unaishi kwa shida sana. Muda wote unaumia na maisha ya uliokuwa unakula nao 2010 mpk 2020. Tafuta ata Genge ufanye ujasiliamali. Kubaliana na hali sio Kila siku unalialia
 
Na kuwapachika majina ya kudhalilisha , Eti Wanyonge !
😟, Wanafanya hivyo kuwazubaisha akili zao, na bado kiongozi huyo huyo anatoka na V8 ofisini kwake anenda Kijijini kuwakanyaga kanyaga wanamama Migongoni mwao. Ila Tz 😀
 
Back
Top Bottom