Haya ndio Majukumu ya January ya Mtanzania ambaye pia anajulikana kama Mnyonge

Haya ndio Majukumu ya January ya Mtanzania ambaye pia anajulikana kama Mnyonge

Hebu fanya tathmini yako uone kama atatoboa .
Huyu anaishi kwenye Nchi ambayo DED tu anatumia V8 , huku Mawaziri magari yao yakiwa ya bei mbaya hadi kuzidi Tsh mil 600

View attachment 2859176
Kwa hiyo umeandika nini. We utakufa maskini kufuatilia vitu vya kipuuzi. Waza namna ya kuboresha pato lako utaishia kupata tatizo la afya ya akili we bwege
 
Back
Top Bottom