Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Ndio maana nakuambia hujui kituBado hujasema jana ulikataa ila wao wamesema wana ushirikiano mzuri na mwnykt na kM vipi utaandama kuwapinga mjumbe wa bawacha songwe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana nakuambia hujui kituBado hujasema jana ulikataa ila wao wamesema wana ushirikiano mzuri na mwnykt na kM vipi utaandama kuwapinga mjumbe wa bawacha songwe!
Tuelezee wewe ujuaye!Ndio maana nakuambia hujui kitu
Mbona unaanza kuweweseka?Hatuna shida na mabilionea wa halali , sasa Mwigulu au Simbachawene wamepata wapi utajiri ?
Mtu anayeweweseka anawezaje kusherehea Mwaka mpya kwa kishindo ?Mbona unaanza kuweweseka?
Kwa hiyo umeandika nini. We utakufa maskini kufuatilia vitu vya kipuuzi. Waza namna ya kuboresha pato lako utaishia kupata tatizo la afya ya akili we bwegeHebu fanya tathmini yako uone kama atatoboa .
Huyu anaishi kwenye Nchi ambayo DED tu anatumia V8 , huku Mawaziri magari yao yakiwa ya bei mbaya hadi kuzidi Tsh mil 600
View attachment 2859176
Katafute utqjiri na wewe siyo kupoteza muda wako kuja kubwabwaja humuHatuna shida na mabilionea wa halali , sasa Mwigulu au Simbachawene wamepata wapi utajiri ?
Ulimuona anasheherekea is kishindo?😎😎Mtu anayeweweseka anawezaje kusherehea Mwaka mpya kwa kishindo ?