Haya ndio makabila yenye kuongoza kwa kuwa na Wanawake wenye viburi hapa Tanzania

Ningeshangaa sana kama wachaga wasingekuwepo
 
Sijaona Mzaramo hapo huu utafiti feki..
 
Mzaramo ni mtu wa furaha muda wote ila usimzuie kwenye mdundiko na singeri
Mrugulu kiburi kinaanza ukimzuia kuhudhuria shughuli kuanzia Alhamisi hadi Jumatatu asubuhi
 
😀ukiona mwanamke anaishi na wewe kwasabu ya pesa zako huyo sio mwanamke huyo malaya sepa fasta ww sio tajiri dunianzika kuna wenzio wanapesa zaid yako wata kugongea mkeo kwasabu ya tamaa zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…