Haya ndio makundi yanayoongoza kwa kuchukiana mitaani/ mitandaoni

Wale tunaokaa kwetu tunachukiwa sana na wanaokaa ghetto. Utasikia 'jamaa mkubwa tu ila anakaa kwao'.

Sasa kama kwetu nyumba zipo zakutosha unataka tukapange ili huku kwetu wafugie majini au?
πŸ™†πŸ½β€β™‚οΈπŸ™†πŸ½β€β™‚οΈ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…