Haya ndio Maneno ya Mwisho ya Baba wa Taifa Hili Mwalimu Nyerere Kuhusu Muungano!!


wanafiki wakubwa nyie, acheni uzandiki wa kishenzi
 
Last edited by a moderator:

Umefika wakati wa kujiongoza na kutatua matizo yetu kwa kufuata fikra zilizo hai.fikra za watu waliopo makburini hazina msaada wowote kwa wale waliopo duniani.

Sent from my GT-I9192 using Tapatalk
 
Nyerere alitufundisha pia kwamba tusiwe wajinga, alitufundisha kuwa watu wa kufikiri na kutafakari na kwamba yale mazuri tuyadumishe na yale mabaya turekebishe....pia alituambia ya kwamba mtu akikuambia kitu cha ujinga huku akitambua kuwa ni ujinga...halafu wewe ukakubaliana na ujinga.....hiyo ni hatari kubwa sana.......

....therefore hili ni suala la kutafakari kwa kina na last decision ibaki na wananchi wa pande zote......
 
Tuache kuchanganya mambo hapa
Kwani kila kitu alichosema Nyerere ni ukweli? Kuna watu aliwaita Wahuni je nalo hilo ni kweli? Tusichague yasiyotugusa na kuacha yanayotugusa.
 
Usilishe watu maneno.Hoja inayo jadiliwa mezani ni muundo wa serikali.AMA SSERIKALI MOJA,MBILI AU TATU.hakuna anayesema muungano uvunjwe.
 

mkuu sio warioba aliepingana na mwalimu ni wananchi ndio walipiopingana na mwalimu..by the way naamini muungano sio msahafu kwamba usiguswe.
 
 
Hivi mtoto akizaliwa tukiwa na Tanganyika atakuwa Mtanzania,mtanganyika au mshirikisho.,,,,,hahaha,na uraia wake utakua tofauti na wazazi,,,,hahahahaha,Rest in Peace warioba umezeeka vibaya

Wakuu mnamuona huyu zuzu?
 

Nilitaka kuweka yangu ila kwa uliyoandika umemaliza, umenena hadi raha.
 
wanafiki wakubwa nyie, acheni uzandiki wa kishenzi

mnafiki ni wewe unayefuata mkumbo,wewe ukiambiwa kula mavi unakula tu,jamaa katoa hoja nzuri kwamba malicela kama ana support serikali 2 atoe uzuri wake basi au sababu za kufanya hivyo,we una ropoka tu,mburula wewe
 

"...Waasisi walituachia muungano wa nchi moja
yenye serikali mbili na siyo nchi mbili zenye
serikali mbili..." - Jaji Warioba
 
"...Waasisi walituachia muungano wa nchi moja
yenye serikali mbili na siyo nchi mbili zenye
serikali mbili..." - Jaji Warioba

- "Hivi nchi mbili zikiwa na matatizo dawa ni kuongeza ya Tatu?" - BY JK

Le Mutuz
 
- "Hivi nchi mbili zikiwa na matatizo dawa ni kuongeza ya Tatu?" - BY JK

Le Mutuz

Mkuu naomba ujibu nukuu ya Mzee Warioba.....ni ya msingi sana, Nini chimbuko la nchi mbili zenye serikali mbili ambayo ndio hoja ya CCM
 
Mkuu naomba ujibu nukuu ya Mzee Warioba.....ni ya msingi sana, Nini chimbuko la nchi mbili zenye serikali mbili ambayo ndio hoja ya CCM

- "Serikali ya Tatu itategemea michango toka Serikali mbili, kuna uwezekano wa Serikali ya Tatu siku moja kukosa pesa za kujiiendesha kwa vile haitakuwa na Rasilimali, hata tume ya Rasimu imeshindwa kusema Serikali ya Tatu itatoa wapi pesa za kujiendesha" - BY JK

Le Mutuz
 
Maneno ya Nyerere sio msaafu. Na ukisoma maandiko ya biblia Mungu aliruhusu Ibrahim na Rutu watengane ili kuepusha machafuko ya ndugu hao.
 

Ahsante kwa mfano, lakini naomba ujaribu kutuletea mifano inayofanana na mazingira yetu hapa Africa. Mazingira na hali ya Marekani ni tofauti saana ndugu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…